Wanawake njooni mseme ukweli

Turumba ndaniiiiiiiiiiiii..
Lakini mr akiwepo jirani hakuna tatizo
Au nyege zikikupata hata kazini bado utaangali vigezo na masharti vya waliopo jirani???

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama unafanya research wasilina na Melo kwanza ulipie gharama kisha ukipata kibali uje na tracking number ntakujibu maswali yote...

K’ Matata.
 
Kama unafanya research wasilina na Melo kwanza ulipie gharama kisha ukipata kibali uje na tracking number ntakujibu maswali yote...

K’ Matata.
Asante sana kwa mchango wako na muda wako..hujaniavha bure kuna kitu nimejifunza.

Nikilipia ntakujulisha tuendelee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmm..Questionnaire!
Bado fomu ya Ridhaa tu tunachapisha pepa ya utafiti
 
Hahaha apo mwsho apo kwenye tarumba nime cheeeka kwel mzee alikuwa Ana kwambia bint yake hahaha ha Aya ilo tuta lifanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamtesa huyo aliyekubeba wewe na mtoto,hapo atapiga turumba kweli.
 
Nikiamua kuchepuka hata unipe ikulu haunizuii....

Akili yangu naijua mwenyewe.... cha muhimu hakikisha nakuheshimu ila nyegee zikipanda navua tuu hata unipe mbingu......

Don’t bother....
Zikikupanda hata yeye si ataisugua tu,kwanini uchepuke,au kila unaemuona ana feature fulani unataka kumuonja?
 
Unajua wanaume ubongo wetu ni umegawanyika kwa boxes na kila box lina jukumu moja tu
Tofauti na wao ambapo ubongo wao umetengenezwa kwa wire nyingi na zimeungana kama internet superhighway na hiyo inafanya kila kitu kimeungana kama ndugu na hela, watoto, mapenzi, uchungu, furaha, yaani kila kitu kimeungana pamoja.

Sasa hata siku moja hatuwezi kuwaelewa ila tunaenda nao hivyo hivyo
Anaweza kulia kwa furaha na kufurahi kwa machungu

Sisi ni tofauti ubongo ukiamua kuongelea mpira ni box moja hilo haliingiliani na kitu kingine

Sent from my SM using Tapatalk
 


Hivi na wenyewe wanayafahamu haya mambo au nisisi tu ndio tunafahamu?
 
Mmmm..Questionnaire!
Bado fomu ya Ridhaa tu tunachapisha pepa ya utafiti

Umesahau kitu kimoja...
Weka maneno kidogo kuhusu hayo maswali sio muhimu kujibu yoye hata moja..
 
Hivi na wenyewe wanayafahamu haya mambo au nisisi tu ndio tunafahamu?
Hapo ndio huwa wanaumia kichwa maana wanashindwa kutuelewa kabisaa
Sisi kama wanaume kuna wakati akili huwa inakufa kwa muda lakini tunapumua amazing.
Unajua ni wakati gani huo?
Tunaweza kuwa tunaongea sana halafu ghafla tunanyamaza wote kwa pamoja kwa mda hahaha ajabu sana

Lakini kwa wanawake subutu wakinyamaza sekunde 5 tu wote wanaanza kujishuku

Sent from my SM using Tapatalk
 

I like you Kasie

Mwanzo nilikua sikuelewi but now I appreciate your sense of humor .

You are in your own little island Smoking lord knows what.
😊😊
 
Umesahau kitu kimoja...
Weka maneno kidogo kuhusu hayo maswali sio muhimu kujibu yoye hata moja..
πŸ˜€Kila shetani na mbuyu wake..
kila mtu anapenda vitu tofauti kutokana na malezi na mazingira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…