Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Upofu wa mapenzi hapana chezeyaNi mapenz upofu au sababu wahudumiwa vizuri hata ujue ana michepuko but seems you dont mind flani hivi
Upofu wa mapenzi hapana chezeyaNi mapenz upofu au sababu wahudumiwa vizuri hata ujue ana michepuko but seems you dont mind flani hivi
Ha haa we andaa tu niendelee kuongeza uzoefu kwakweliAda ikipungua niambie nikuongeze usome na uelewe
Tatizo muda wenu wa kupata fursa ni miaka michache na haiwezi kuzidi 35. Baada ya hapo fursa zinakuwa adimu. Kwa mwanaume hizi fursa zipo mpaka mwisho wa uhai wako kama utajaliwa afya.Hata sie tukiachana na mtu fulani baada ya week tunakamata fursa kwa mwingine
Weee sio kwa kizazi hiki labda kwa kijijini ni sawa ila mjini huoni kina wema kila leo wanakamata fursa.Zari humuoni?Ni jinsi utakavyojiweka na kujibrand ukikaa kizee hata mbuzi hakunusi ila ukiwa smart fursa unazikamata haswaaaTatizo muda wenu wa kupata fursa ni miaka michache na haiwezi kuzidi 35. Baada ya hapo fursa zinakuwa adimu. Kwa mwanaume hizi fursa zipo mpaka mwisho wa uhai wako kama utajaliwa afya.
Wema bado hajafikisha 35 lakini unaweza kuona wanaume wameanza kumkimbia. Hakuwa na historia ya kuachwa siku za nyuma ila yeye alikuwa anaacha. Idrisa kamuacha Wema. Huo ndo mwanzo, baada ya muda atahangaika kupata aliowakataa.Weee sio kwa kizazi hiki labda kwa kijijini ni sawa ila mjini huoni kina wema kila leo wanakamata fursa.Zari humuoni?Ni jinsi utakavyojiweka na kujibrand ukikaa kizee hata mbuzi hakunusi ila ukiwa smart fursa unazikamata haswaaa
Yea ofcoz
Ndo maana Trump huwa anawashika shika
Kwa sisi tunaopenda kushika shika
Trump ndo kiongozi wetu

Upofu wa mapenzi hapana chezeya

Ukweli mchunguWema bado hajafikisha 35 lakini unaweza kuona wanaume wameanza kumkimbia. Hakuwa na historia ya kuachwa siku za nyuma ila yeye alikuwa anaacha. Idrisa kamuacha Wema. Huo ndo mwanzo, baada ya muda atahangaika kupata aliowakataa.
Pili, inategemea lengo lako ni kuolewa au kuwa single mother. Kama ni suala la kuolewa wanawake wanaopata fursa za kubadili wanaume kila week chance ya kuolewa ni ndogo. Hapa ni kwamba wanaume wanakuwa wanasikia umaarufu wako na mara nyingi wanakupenda ili kuonja ukoje lakini kuoa hamna.Kama una lengo la kufanya biashara kupitia hizo fursa hapo utakuwa sahihi.
TruthAkikusumbua jua kuwa hakuwa sahihi kwako, let her go and move on.
Pesa hutia upofu!Ni mapenz upofu au sababu wahudumiwa vizuri hata ujue ana michepuko but seems you dont mind flani hivi