Wanawake ni wengi mno!

Wanawake ni wengi mno!

I had dreams, you see and I had plans
But I traded them for some romance
Look what I'm facing just 'cause of chasing too many women.

When I see the mess that I'm drowning in....I know why I'm here, after where I've been if the truth be told I would have to say it was worth the price, that I had to pay.

Though they break my heart, and make me cry i can hardly wait 'till the next comes by i don't know why! For another try i don't know why

Wanawake wapo na ni wengi mno wa kila aina, weusi, weupe, maji ya kunde, warefu, wafupi, wanene, wembamba, wenye "mizigo"/"chura" au flat, but they are too many women my fellow men hata akiondoka mmoja katika maisha yako watakuja wengine

View attachment 431764
Nimependa haya maandishi ni lyrics za Julio iglesias kwenye nyimbo yake ya "too many women" its the best song Julio has ever composed, best melody with an amazing vocal technique.

Jamaa inasemekana ameshatembea na wanawake 3000 katika maisha yake.

Pia ni baba yake Enrique iglesias, hawana uhusiano na mwanae kwa miaka mingi na dogo wakati anaoa hakumualika baba yake. Lakini wakiulizwa kama wana hitilafu hakuna anaekubali kuwa mahusiano yao sio mazuri.

Julio iglesias aliwahi kuwa Golikipa wa timu ya Real Madrid.

Inasemekana ndio the best male Spanish singer of all time.

Wale back females vocal singer wake walikuwa wazuri na warembo mithili ya malaika na wote alikuwa analala nao kwa wakati mmoja.

Aliwahi kulala na mashabiki waliong'ang'ania mlangoni kwenye hoteli aliyofikia baada ya kugoma kuondoka wakitaka penzi la Julio. Basi jamaa akawaruhusu security wawaachie alale nao wote. Hatari!

Huyo ndo Julio anasema "too many women"
 
Nimependa haya maandishi ni lyrics za Julio iglesias kwenye nyimbo yake ya "too many women" its the best song Julio has ever composed, best melody with an amazing vocal technique.

Jamaa inasemekana ameshatembea na wanawake 3000 katika maisha yake.

Pia ni baba yake Enrique iglesias, hawana uhusiano na mwanae kwa miaka mingi na dogo wakati anaoa hakumualika baba yake. Lakini wakiulizwa kama wana hitilafu hakuna anaekubali kuwa mahusiano yao sio mazuri.

Julio aliwahi kuwa Golikipa wa timu ya Real Madrid.

Inasemekana ndio the best male Spanish singer of all time.

Wale back vocal singer wake walikuwa wazuri na warembo mithili ya malaika na wote alikuwa analala nao kwa wakati mmoja.

Aliwahi kulala na mashabiki waliong'ang'ania mlangoni kwenye hoteli aliyofikia baada ya kugoma kuondoka wakitaka penzi la Julio. Basi jamaa akawaruhusu security wawaachie alale nao. Hatari!

Huyo ndo Julio anasema "too many women"
Hahahaha true kabisa mkuu !! Waspanish si unawajua tena
 
U mean lost love cant be replaced?? What if ukapata utakaempenda zaid ya aliekuacha mwanzo
Of course, inatokea but that can't be considered as a lost love rather it will be a new love. Ni kama mama kuachika then baba akavuta mwingine, hata awajali vipi hawezi kuwa mama atabaki kuitwa step mother.
 
Yeah ananihudumia poa mwaya wifi langu... Tatizo michepuko yake sasa

Mie jambo sana. Vipi weye
Ni mapenz upofu au sababu wahudumiwa vizuri hata ujue ana michepuko but seems you dont mind flani hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom