Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Mkuu usibabaishwe na picha, camera zinadanganya sana. Hao unaowaona wazuri kwenye picha ndo hao hao unaowaona wabaya kwenye maisha halisi mitaani. Kuna app nyingi tu za kutengeneza picha zionekane nzuri kumbe usanii tu.Hao wengi wako wap? Mbona wengine hatuwapati??
Acheni uchoyo muingie Mbinguni, kama unawawili nipeni mmojaa
