Wanawake ni wengi lakini...

Wanawake ni wengi lakini...

uuuuuupsi elewa sigle people wapo....
wenye wanaume zaid ya tano wapo....
wenye wanawake zaid ya saba wapo....
wanaonunua papuchi while wameoa wapo.....
wanaotafuta wanaume na hawapati wapo......
wanaopigwa vibuti men kila uchwao wapo....


uwiano....uwiano...uwiano....utapata jibu kweli?????
amin wanawake ni weng zaid ya wanaume yatosha

noma sanaaa umetisha mkuu
 
dats a simple math, wanavosema wanawake ni weng huwa wanajumuisha wanawake wote kwa ujumla watoto, vijana na wazee, so inawezekana idadi kubwa ya wanawake ni watoto na wazee ndo inafanya waonekane wengi ila vijana wanawake ni wachache na kumbuka vijana wanawake wanasakwa na vijana wanaume na wanaume wazee hivyo automatically kwenye mahitaji ya kimapenz wanawake ni wachache kuliko wanaume

Kuna kaukweli Mkuu !!
 
dats a simple math, wanavosema wanawake ni weng huwa wanajumuisha wanawake wote kwa ujumla watoto, vijana na wazee, so inawezekana idadi kubwa ya wanawake ni watoto na wazee ndo inafanya waonekane wengi ila vijana wanawake ni wachache na kumbuka vijana wanawake wanasakwa na vijana wanaume na wanaume wazee hivyo automatically kwenye mahitaji ya kimapenz wanawake ni wachache kuliko wanaume

...nimekusoma mkuu lakini kumbuka pia kuwa watoto wa kike uwai sana kujiusisha na mapenzi tofaiti na watoto wa kiume na hao wanawake wazee unaosema nao siku hizi wamekuwa wakijiingiza katika mahusiana ya kimapenzi na vijana wadogo...
 
Wanawake n weng vipi bana wakati mm nimeweka tangazo sijampat mpaka leo..wananipm tueze ngombe inawezekana kweli jamani
 
Back
Top Bottom