Wanawake ni watu wa ajabu sana

Wanawake ni watu wa ajabu sana

Shekuna

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
688
Reaction score
549
Wakuu hapa nilipo hata siamini kwa kilichonitokea.

Nina g.f wangu tuko mikoa tofauti na ananipenda sana kwa kweli.Juzi kati alianza kunitumia txt za ex wake kuwa anataka warudiane ila ye hataki coz ananipenda sana me.Akampa hadi namba yangu na me akanipa yake.Nikaongea naye na akanipa siri nyingi sana hadi kutoa mimba yake bila kumjulisha,pia alimtoa bk.Jamaa tulimalizana fresh na akakubali yaishe na mim ndio mmiliki.

Leo nimemtxt mpenzi wang mida ya jioni akawa harespond.Nikipga hapokei nikavunga.Baada ya masaa kadhaa akanipgia sikupokea zen akapga tena nikapokea nikatake easy.akaanza kutoa sabab simu alimpa mdogo ake aend nayo mjini ye alilala.Kwa akili yangu ya kawaida nikatengeneza mazingra ya akubali kuwa alikuwa na yule ex wake wanasex.

Nikambana sanaa na ikawa kweli kanisaliti.Akawa analia sana akajua labda jamaa kanambia kumbe wala na anaomba msamaha anasema hakuna mwanaume anayempenda kama me duniani.Nimemwambia anipotezee hanielewi.

Wakuu naombeni ushauri, je niendelee naye au nipge chini nianze kuhit and run?
 
Mjomba ukitaka kuona maisha ni magumu wekeza akili yako kwa hao viumbe.. Mimi huwa sishiki cm yake wala huwa siulizi yasiyonihusu baina yangu mm na yy basi
 
Mjomba ukitaka kuona maisha ni magumu wekeza akili yako kwa hao viumbe.. Mimi huwa sishiki cm yake wala huwa siulizi yasiyonihusu baina yangu mm na yy basi

kwa upendo aliokuwa ananionyesha sikutegemea kam angenifanyia ivi
 
Ukiona mwanamke anakupa habari za fulani ananitaka, sijui ananitongoza ujue huna mke/ gf. Mwanamke wa hivyo ana mambo anafanya sasa anakuwa anatafuta njia ya kufanya uamini kuwa hafanyi hayo mambo na hata ikitokea umehisi kitu fulani anakua wa kwanza kusema, si nilikwambia hivi na hivi... Halafu kitu kingine ambacho ni cha kijinga sana umefanya ni kuongea na huyo X wake. Kwanza ukiwa na mwanamke usitake hata kumjua x wake. Kwa ujumla hakuna mwanamke hapo, anampa namba yako x wake. Sijawahi kuona ujinga huo
 
Mi nimefukuza mmoja last week, dawa yao ndogo sana ukiona hamuendani tembeza. She is not the only fish in the pond!
 
Shekuna WANAWAKE sio WATU
Akiwemo mama ako aliyekuzaa!!!
Inasikitisha sana.
 
Last edited by a moderator:
Daaah!!!eti wanawake sio watu mpendwa hiyo sio sahihi sote tuliumbwa na Mungu kwa kusudi lake tena ni nyama katika mifupa yenu sasa iweje useme sio watu??? By the way tulia na Mungu wako muulize ubavu wangu uko kwa nani?? Na Mungu ni mwaminifu atakupa sawa na haja ya moyo wako ila usikufuru kwa hiyo lugha....pole kwa yaliyokupata lakini.....
 
Upendo wako kazi bure kwa kiumbe kinachoitwa mwanamke Acha kulialia tupa kule Kwanza tayari ashakuwa Used spea. Shituka tupa kule... Pia nijulishe kabila yake
 
Mi nimepiga chini mtu jana. Utasikia baby leo namsindikiza dada msibani sitapatikana, mara dada kalazwa shemeji kaondoka na simu yangu. Mara kuna mzigo nilipeleka site kwa dada simu niliacha home, mara leo nalala sa kumi hadi kesho nimechoka mno. Huo ujinga nani anataka

aaaaahhhh mkuu uligeuzwa spear tyre aaaaahhhh pole sana ila jamani si alikuwa anakuaga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom