wazungu wanatabia ya kwanza
sijawahi kuona/kusikia mzungu mwenye mimba anamchukia mumewe....
hii ni kwa wanawake wa ki TZ kumchukia mumewe na kumpenda mwanaume mwingine (utakuta alikuwa anampenda tokea zamani lakini halikua hana sababu ya kufanya hivyo)
Hata mie naona kamuona mkewe ana madeko ya kisanii, ndio anataka kusema hapa kila mwanamke ana madeko kipindi cha mimba. Nakumbuka kuna post yake hapa alisema mkewe mchafu, haoshi nywele zake, basi akaona wote wachafu. Kwanza sijui ulimuomba mkeo samahani kwa kumuanika mtandaoni kwamba mchafu.
Hivyo Pakajimmy sio wanawake wote ni wasanii, wengine inatokea tu involuntary action.
hizo mbona cku hizi tunazitafuta wote?
huyo aliyekuambia, ana lengo gani na wewe au mwenzio?
Asikuambie mtu, kubeba tumbo miezi 9, kutaabiika kipindi chote hicho, kukosa usingizi hadi asubuhi hasa miezi 3 ya mwisho, kusikia kichefuchefu miezi mitatu au minne ya mwanzo mfululizo, heartburn, pressure, kuvimba miguu na mengine mengi... Ambayo kila mama mjamzito anayapitia, ukiacha matatizo mengine makubwa.... Hapo bado hujafikia kilele yaani uchungu na kujifungua.sasa wewe pata picha, unapoumwa malaria siku mbili tatu tu unakuwa hoi..... Bado wanawake wanajifanya? Usanii??? Jibu unalo mwenyewe.
Mbu! Astaghafirluh!...baada ya 'kushughulishwa' kote huko kipindi cha kulea mimba, kwenye DNA unakuta kumbe hata toto lenyewe sio lako, weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh....!
Mbu! Astaghafirluh!
Yaani unamwita mtoto toto lenyewe! Mbona kila leo wanawake wanaletewa watoto ambao waume zao wamezaa nje na kutegemewa kuwalea kwa mapenzi tele?...whats good for the goose is good for...... malizia basi!
Kwa kweli hamwafanyii haki wanawake, hiyo hali hata mungu kashasema mwanamke anapochua mimba anakua kwenye uangalizi mkubwa kwani ni hatua ngumu mnoo. Wala sikutegemea kama kuna mtu angeanzisha mjadala juu ya hilo. Kama wanafanya usanii hembu muulize mama yako akuthibitishie kuwa ni usaniii. Tuwaonee huruma wanawake jamani hata kama anafanya usanii kwa ajili ya ujauzito huoni tu kuwa huyo ni mgonjwa wa saikolojia iliyo sababishwa na mimba?Huyo aliyekuambia, ana lengo gani na wewe au mwenzio?
Asikuambie mtu, kubeba tumbo miezi 9, kutaabiika kipindi chote hicho, kukosa usingizi hadi asubuhi hasa miezi 3 ya mwisho, kusikia kichefuchefu miezi mitatu au minne ya mwanzo mfululizo, heartburn, pressure, kuvimba miguu na mengine mengi... ambayo kila mama mjamzito anayapitia, ukiacha matatizo mengine makubwa.... hapo bado hujafikia kilele yaani uchungu na kujifungua.Sasa wewe pata picha, unapoumwa malaria siku mbili tatu tu unakuwa hoi..... bado wanawake wanajifanya? USANII??? JIBU UNALO MWENYEWE.