Unampigia simu demu wako mida ya saa tisa, anatoka nyumbani mpaka sehemu ulipo. Anaagiza kinywaji na kumuita mhudumu wa jikoni, niletee kuku nusu na chips. Wewe umetoka nyumbani hujala huko? Unajua nina bei gani mfukoni? Kuweni wastaarabu.
Huyo ni demu wako au mlupo???
Kama ni demu wako najua lazima kutakuwa na kuulizana kwa habari ya misosi na vinywaji..
Ila kama ni mlupo, aah ndio zao hizo....tena anaagiza na za kufunga kabisa,maana anajua yupo na ATM karibu.