vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,169
- 2,991
Mabaharia kwemaa?
Eeh bana kuna ngarangara moja nilkuwa naipenda kinyama afu nilkuwa nina machale si mchezo, siku moja nimetoka dom manzi akanicheki kuniuliza niko wapi, nikamchana niko somewhere nakula vyombo na wana, akaniambia yeye anaenda kwenye harusi nikaona fresh nikazima data.
Bana bana pombe ikakolea kichwani, nikahisi kuna kitu hakipo sawa, nikaanza kumpigia manzi nijue kama ashatoka kwenye harusi ili nishuke kwake nikamwage wazungu, demu akawa hapokei simu zangu kabisa, nikachukua usafiri mpaka kwake mishale ya saa 11 asubuhi nipo maeneo ya getini kwake, ghafla nikahisi kuna gari inakuja nikajibana sehemu,
Huwezi amini wakuu nikamuona hii takataka inashuka kwenye gari na msela flani hivi, niliumia sana moyoni nikawa natetemeka, naona kama picha la kihindi hivi, kumbe nilipojificha kulikuwa na siafu wakaanza kupanda mwilini polepole wala sikuhisi chochote,
Wakafungua geti wakaingia ndani, mm nikazunguka nyuma ya nyumba nione kitu gani kinaendelea, wakawa wanazozana tu sijui ndo mshikaji hakufika dau au vp! Uvumilivu ukanishinda nikarudi ndani, walivo mafala waliacha mlango wazi, nikaingia ndani nawakuta sitting room jamaa akaishiwa nguvu demu ndo kabaki amepigwa butwaa.
Sasa ile katika kutaka kuanza kuleta noma nikahisi kama natembelewa na vitu mwilini, siafu wakaanza kuning'ata bana, asee nilikosa pozi nifanyaje sasa nipambane na hawa wanaharamu au nipambane na siafu mwilini, ikabidi nikaze tu nianze kumchimba beat yule msela huku naporomosha matusi na vitisho vingi, huku siafu wanachachamaa si mchezo jamaa akapata mwanya akakimbia njee nikaona sio kesi leo bahati yake.
Nikabaki na hii mbuzi pale sebuleni, nikamwambia “ww mjinga leo nadondosha hayo meno yote ngoja niingie chumbani kumbe nilienda kuvua nguo chapu nakutoa wale siafu.
Baada ya kutoa siafu na ile pombe kichwani ikabidi nijiegeshe kitandani, nikapitiwa na usingizi, asubuhi hang-over kichwani nikamuangalia mama kwa jicho kavu ila hasira ishapungua ikabidi, nipige tako nyingi sana za hasira, nikaambiwa ahsante baba.
Eeh bana kuna ngarangara moja nilkuwa naipenda kinyama afu nilkuwa nina machale si mchezo, siku moja nimetoka dom manzi akanicheki kuniuliza niko wapi, nikamchana niko somewhere nakula vyombo na wana, akaniambia yeye anaenda kwenye harusi nikaona fresh nikazima data.
Bana bana pombe ikakolea kichwani, nikahisi kuna kitu hakipo sawa, nikaanza kumpigia manzi nijue kama ashatoka kwenye harusi ili nishuke kwake nikamwage wazungu, demu akawa hapokei simu zangu kabisa, nikachukua usafiri mpaka kwake mishale ya saa 11 asubuhi nipo maeneo ya getini kwake, ghafla nikahisi kuna gari inakuja nikajibana sehemu,
Huwezi amini wakuu nikamuona hii takataka inashuka kwenye gari na msela flani hivi, niliumia sana moyoni nikawa natetemeka, naona kama picha la kihindi hivi, kumbe nilipojificha kulikuwa na siafu wakaanza kupanda mwilini polepole wala sikuhisi chochote,
Wakafungua geti wakaingia ndani, mm nikazunguka nyuma ya nyumba nione kitu gani kinaendelea, wakawa wanazozana tu sijui ndo mshikaji hakufika dau au vp! Uvumilivu ukanishinda nikarudi ndani, walivo mafala waliacha mlango wazi, nikaingia ndani nawakuta sitting room jamaa akaishiwa nguvu demu ndo kabaki amepigwa butwaa.
Sasa ile katika kutaka kuanza kuleta noma nikahisi kama natembelewa na vitu mwilini, siafu wakaanza kuning'ata bana, asee nilikosa pozi nifanyaje sasa nipambane na hawa wanaharamu au nipambane na siafu mwilini, ikabidi nikaze tu nianze kumchimba beat yule msela huku naporomosha matusi na vitisho vingi, huku siafu wanachachamaa si mchezo jamaa akapata mwanya akakimbia njee nikaona sio kesi leo bahati yake.
Nikabaki na hii mbuzi pale sebuleni, nikamwambia “ww mjinga leo nadondosha hayo meno yote ngoja niingie chumbani kumbe nilienda kuvua nguo chapu nakutoa wale siafu.
Baada ya kutoa siafu na ile pombe kichwani ikabidi nijiegeshe kitandani, nikapitiwa na usingizi, asubuhi hang-over kichwani nikamuangalia mama kwa jicho kavu ila hasira ishapungua ikabidi, nipige tako nyingi sana za hasira, nikaambiwa ahsante baba.
