Vumilia tu yataisha mkuuhata mwanamke ajitetee vipi bado mtamwOna ni shetan huku mnajipa hadhi y UMALAIKA Muda wote,,,,,,, mada km hiz znanikera.
Hivi unadhani binadamu unaweza ukamchunguza tabia ukazijua zote kwa 100%..?? Binadamu huyu ambaye ukimmwagia maji ya baridi reaction inakuwa tofauti na akimwagiwa maji ya moto..?Sio kweli, ndo maana ya kuchunguzana kabla ya ndoa. Atakaeanza kubadilika ni tabia yake toka awali ila hukuiona tu maana ulikuwa hujui unataka nini na kama uliiona na ukapuuzia ujue huo ni msalaba wako.
vice versa its truehahaaa..... wanaume bwana.. mnapenda kuendesha mtu kama gari... ila ujue hata gari ukielekea wrong side linapata ajali...
ukishindwa kufunga Break navyo hivyo hivyo.
wanawake huwa tuna ishi kucope na mazingira.
ukiona mkeo kabadilika jua umebadilika mara mbili zaidi.
Assess yourself first.