Wanawake nawaomba msituonee huruma

Wanawake nawaomba msituonee huruma

Shubaamit!!! BAN inakuhusu,huwezi kuwapa njia kanga yakutorokea wkt nawewe ni kati ya wategaji!! Mod ban this mutu adabu imshike maana hajui watu tumeweka mitego
easy come easy go, so mkiendelea kuwanyaka kiurahisi lazima muwateme kirahisi. Angalau wakiwa wagumu watu watakuza ujuzi wa kuseek
 
easy come easy go, so mkiendelea kuwanyaka kiurahisi lazima muwateme kirahisi. Angalau wakiwa wagumu watu watakuza ujuzi wa kuseek
mkuu uzuri mi siwapi mbami nabalance tusijemsumbua mkuru mara njaa,ajira n.k
ndo kwanza damu inanichemka wacha niipoze mambo haya ni mubashara uzee waja shauri yako!
 
Ahaah apo umemaliza ila mimi uwa sitii huruma nikimuona na mwingine nawavamia utazani nilimwekeza
Hahaha.. Utakuja upigwe na kitu kizito kichwani, shauri yako
 
We jamaa unawaambia kwani hawajui wanawake hupelekwa na hisia wanaume tunatumia akili kwenye mapenzi
Well said mkuu, tunajaribu kumfundisha panya kumkamata paka
 
Huyu jamaa vipi...hivi unsdhan kwann anarudi...anakumbukia maxuri..alaf nahisi una dem wa mtu
Mkuu ogopa sana kitu kinachoitwa weakness, mtu akishajua weakness zako basi hesabia maumivu
 
jje's usimuonee huruma kabisa huyu jamaa bali nionee huruma mimi![emoji1]
Anionee huruma kwani nimefanya kosa gani??? Ukiona mtu analilia huruma ujue huyo anakitu nyuma ya pazia...
jje's usimsikilize huyu
 
Akili inakwambia hiki ni chema
Lakini hisia zinakudrive kukupeleka zitakapo
Hapo huwa hakuna ujanja,
Mapenzi ni hisia unaweza ukawa unamtenda mpenzi wako
Mabaya lakini yeye atalia kisha anarudi tena kwako hakuachi
Coz hisia zake zipo kwako tu.
Ukisikia udhaifu ndio huo , na kwenye mapenzi ukionyesha udhaifu wako basi umekwisha
 
Haha... bro unatupeperushia ndege...[emoji23][emoji23]
Wala hawapeperuki..Stunter hapa anaongea na viziwi..Wanawake wa dizaini hizi kuwaelimisha ni kazi sana..Usiombe dada ako akawa hivyo..Unaweza kumtengua mtu kiuno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom