Truth Be Told
Senior Member
- Oct 23, 2017
- 121
- 199
Wanawake wanajikuta wana vigezo vya kufa mtu pindi wanapotafuta mwanaume utaskia nataka mwanaume awe na tumbo flat spendi vitambi, awe hensam, awe na kifua, awe na mwili kidogo umejaajaa, awe anajua mapenzi na awe anahudumia.
Ila chenyewe ukikicheki ni kifupi, kitufe balaa, tumbo ndi, ngozi ngumuuu, tako limedondoka, anavuja jasho akitembea barabarani, ana u.t.i, anavuja damu, vidole vya miguuni vimeachana achana kama vinacheza kidali, sio mzuri, ana fungus ukeni, ana pua ka pinda, usiku akilala anakoroma, asubuhi akiamka udenda umejaa kwenye shuka, hela hana.
Wanawake wa namna hii kuweni wapole, mnapotaka vizuri na sisi pia tunataka vizuri. haiwezekani vyote unavyotaka mi nnavyo ila wewe huna lolote halafu nku-keep. tafuta level zako.
Ila chenyewe ukikicheki ni kifupi, kitufe balaa, tumbo ndi, ngozi ngumuuu, tako limedondoka, anavuja jasho akitembea barabarani, ana u.t.i, anavuja damu, vidole vya miguuni vimeachana achana kama vinacheza kidali, sio mzuri, ana fungus ukeni, ana pua ka pinda, usiku akilala anakoroma, asubuhi akiamka udenda umejaa kwenye shuka, hela hana.
Wanawake wa namna hii kuweni wapole, mnapotaka vizuri na sisi pia tunataka vizuri. haiwezekani vyote unavyotaka mi nnavyo ila wewe huna lolote halafu nku-keep. tafuta level zako.
