Wanawake na umbea ni tishio makazini

Wanawake na umbea ni tishio makazini

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,436
Sio wote ila wengi ni wambea, wakuda, vizabizabina na ma informer wa mabosi.
Wengi wao ni wanafiki na ndumilakuwili.
Kibaya zaidi hawapendani wao kwa wao, sijui ni hulka au kurogwa?
 
Daaaaaa.... aiseee its too much, niliwahi kufika ofisi fulani nikiwa mgeni tu, week moja ilinitosha kuwajua watu waliokuwa wanafanya kazi toka miaka ya nyuma. Kuna mama mmoja ndio alikua anatoa hizo stori pindi mmoja akigeuza mgongo tu, nahisi hata mie nilikua nikitoka tu... nilikuwa topic yake...
 
kusemasema tulishasema tumechoka muongo na muchawi.....................
 
Daaaaaa.... aiseee its too much, niliwahi kufika ofisi fulani nikiwa mgeni tu, week moja ilinitosha kuwajua watu waliokuwa wanafanya kazi toka miaka ya nyuma. Kuna mama mmoja ndio alikua anatoa hizo stori pindi mmoja akigeuza mgongo tu, nahisi hata mie nilikua nikitoka tu... nilikuwa topic yake...

hujui kuwa mwenzako akinyolewa na ww tia maji?! Wanawake mnatisha sana
 
nature.... kila kitu kinakua kwa nature.

wanawake wa kizaramo, kindengereko, kikwere nk wana sifa zao,
 
mmmh ofisi gani hizo wana mda wa umbea aisee? walete jf tupige umbea
 
Nachukia tabia ya kuwa kila siku mtu akija ofisini lazima wamchambue alivyovaa. Mara oooh hicho kitenge kama pazia! Mara ooh leo umevaa nguo fupi, dah, tunatishaaaaaa
 
Sio wanawake tu kuna wanaume wambea, wana majungu na wanafiki wakubwa sema wao wakisutwa haijulikani
 
siku izi hata nyinyi mmeingilia fani ya umbea...

siwez kubisha kwasababu kama wamefikia hatua ya kugegedwa na wadai ndoa kabisa sasa watashindwaje umbea?? Ila mwanaume wa kweli hawez kuwa mmbea
 
Back
Top Bottom