Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Wanafaa kusutwa kwenye siafu.
Uuwiiii si itakuwa balaa. Ila ndio watakapokoma.
Wanafaa kusutwa kwenye siafu.
Mwanamke umbea kusutwa sunna tuacheeeee
Kweli hii ni kitu ambayo iko nje ya uwezowenu...you can't control it....you need devine intervention!
Wanafaa kusutwa kwenye siafu.
Ila siku hizi wanaume mmekuja kwa kasi, ni wambea kutuzidi hata sisi...
Ninachokupendea wewe huwa hukopeshi unatoa makavu, haya mkuu
Mwanaume wa ukweli hawezi kufanya hivyo.
Wanaume na tai zao shingoni wambea hakuna mfano...
Nani kakwambia uwanamume ni kuvaa tai??
Eeeeh haya uanaume ni dushe, wanaume na madushe yao ila wambea
Asante kwa kunifahamisha au naweza sema kwa kutufahamisha, ishakuwa janga mkuuHalafu kwa kusadiki ushirikina wao ndio namba moja. Kila wiki utawasikia wakienda Kisutu. Unaweza dhani wanaenda kununua vyakula na mahitaji mbalimbali ya nyumbani.... kumbe wanaenda kununua njiwa weupe wa dawa
Wanaume ndo WAMBEA WAMBEA haswaaaa! Afu inshu zao zimeenda shule, unapewa umbea na supporting documents incase hujaamini. Mabingwa wa kikiss n tell.
siwez kubisha kwasababu kama wamefikia hatua ya kugegedwa na wadai ndoa kabisa sasa watashindwaje umbea?? Ila mwanaume wa kweli hawez kuwa mmbea
Tukakae chemba nikufundishe umbea shem...
hahahaaaaa njoo kibarazaniiiii.... kuna mkeka huku........... A ww! Labda umbea wa chumban lakn mwingne akhaa
hahahaaaaa njoo kibarazaniiiii.... kuna mkeka huku...