KAPOSI SARCOMA
Member
- Jan 13, 2018
- 38
- 50
Habari zenu watanzania popote pale mlipo,
Leo naandika hii mada kwa uchungu juu ya kupotea njia kwa wanawake wetu.
Mimi hua sielewi hata kidogo namna wanawake wanavyovaa ani sielewi, hadi najiuliza ni nani kawaroga?
Utakuta mdada kama Faiza amevaa mavazi ya kishetani na nikijaribu kutafuta sababu ya kufanya hivo sipati.
Nakuja na jibu moja tu WANAWAKE WOTE WANAOVAA KIHUNI WOTE NI MALAYA NA PENGINE WANATANGAZA SOKO.
Hatukatazi kuvaa suruali lakini unakuta kidada kimevaa suruali imembana mpaka unaona maumbile yote yalivyo! Nashangaa sana ni uhuni huo wanaume wapo tu na ili kuwapata sio lazima uvae kama shetani.
Jitahidini hata kama ni malaya vaeni kwa heshima. Kwa taarifa nilizo nazo asilimia kubwa ya wanawake vijana Tz ni malaya.
Sasa dawa yao inakuja muda si mrefu, wajiandae serikali haitavumilia haya maovu na uhuni, hii ni nchi ya maadili na sio danguro la wahuni.
Leo naandika hii mada kwa uchungu juu ya kupotea njia kwa wanawake wetu.
Mimi hua sielewi hata kidogo namna wanawake wanavyovaa ani sielewi, hadi najiuliza ni nani kawaroga?
Utakuta mdada kama Faiza amevaa mavazi ya kishetani na nikijaribu kutafuta sababu ya kufanya hivo sipati.
Nakuja na jibu moja tu WANAWAKE WOTE WANAOVAA KIHUNI WOTE NI MALAYA NA PENGINE WANATANGAZA SOKO.
Hatukatazi kuvaa suruali lakini unakuta kidada kimevaa suruali imembana mpaka unaona maumbile yote yalivyo! Nashangaa sana ni uhuni huo wanaume wapo tu na ili kuwapata sio lazima uvae kama shetani.
Jitahidini hata kama ni malaya vaeni kwa heshima. Kwa taarifa nilizo nazo asilimia kubwa ya wanawake vijana Tz ni malaya.
Sasa dawa yao inakuja muda si mrefu, wajiandae serikali haitavumilia haya maovu na uhuni, hii ni nchi ya maadili na sio danguro la wahuni.
