Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Wanawake mna matatizo gani na simu za mkononi? Kwanini mnazigeuza kuwa simu za mezani.
Hii haina cha mwanamke msomi na mbumbumbu, mfanyakazi na mkulima/mfanyabiashara, mbinti na mmama, mkurugenzi na mhudumu, waziri na mfagizi: Mradi ni mwanamke kwao simu ya mkononi ni ya mezani.
Ole wetu tuchelewe kupokea simu zao! Tunakutana na maswali mengi sana. Oh mara ulikuwa wapi hupokei simu, Oh ulikuwa na nani? Ni kasheshe iwe nyumbani-chumbani au katika nyumba za wageni au ufukweni. Ni full Kasheshe!
Lakini kwao simu ya mkononi ni ya mezani. Na hujitetea sana ukiwabana kwanini hawakupokea mapema.
Nauliza tena ni KWANINI KWAO SIMU YA MKONONI NI YA MEZANI?
Bazazi ni Bazazi!
Hii haina cha mwanamke msomi na mbumbumbu, mfanyakazi na mkulima/mfanyabiashara, mbinti na mmama, mkurugenzi na mhudumu, waziri na mfagizi: Mradi ni mwanamke kwao simu ya mkononi ni ya mezani.
Ole wetu tuchelewe kupokea simu zao! Tunakutana na maswali mengi sana. Oh mara ulikuwa wapi hupokei simu, Oh ulikuwa na nani? Ni kasheshe iwe nyumbani-chumbani au katika nyumba za wageni au ufukweni. Ni full Kasheshe!
Lakini kwao simu ya mkononi ni ya mezani. Na hujitetea sana ukiwabana kwanini hawakupokea mapema.
Nauliza tena ni KWANINI KWAO SIMU YA MKONONI NI YA MEZANI?
Bazazi ni Bazazi!