Wanawake na Ndg wa upande wa mwanaume

wapendwa kwa family zetu za kiafrika kuishi na utitiri wa ndugu ni mambo ya kawaida ingawa kwa kweli ni mzigo wa mavi! maana hakuna namna utaondokana nao salama, katika kuishi kwangu na ndugu wengiiii wa pande zote mbili nimejijengea ndugu maadui wengi kuliko ndugu marafiki! ndugu lawama jamani, na sio wote wanaokuja kuhitaji msaada kula wale ndugu wamechoka tu kukaa huko waliko wanaamua kuja kukaa kwako wakifika wanaishi kama paka wa hotelini hawajigeuzi labda wakati wa kula ukiiuliza wamekuja kupumzika!! tena na midomo mireeefu na housegirl wako wanakufukuzia kwa midomo yao, watoto wako wanabadilishiwa maisha anachotaka aunt ndio na mwanao atakachoangalia kwenye TV mara watoto walale chini mgeni alale kitandani to mention a few lakini eeeh kwa kweli mnaaoolewa sasa mkiweza hebu kaeni mke na mume tu na watoto wenu muone raha ya maisha! mie ck hizi watoto wakubwa wako shule/chuo naishi na mume tu na houseboy sitaki ndugu kabisa maisha raha mustarehe utadhani tumeoana jana

Duh, haya bana!
 
uko sawa kabisa ndugu yangu ndugu wa mume awabebeki ata uwafanyie wema kiasi gani mwisho wake ni lawama tu.
 
Jamani wanaume wengi wanalalamika kuhusu tabia ya baadhi ya wanawake ya kutotaka kuishi na ndugu wa upande wa mwanaume. Wengi wa wanawake wa jinsi hii wanapenda tu wakae na ndugu zao, lakini siyo wa mwanaume. Eti sababu huwa ni nini hasa? Naombeni mawazo yenu jamani, kama ilishajadiliwa naombeni link za sredi hiyo nipate mawazo ya wadau.

Ni ukoo wenu tu.....:target:
:target::target:
 
Back
Top Bottom