siku za nyuma nilileta uzi wangu humu ambao ulisema "natafuta baba atakaye kuwa baba wa mtoto wangu"
Walijitokeza wanaume wengi wao walikuwa mbali na mkoa niliopoa, ila kuna mmoja tulikuwa wilaya moja. Huyu ndiye nilimuona anafaa sana.
Alinitumia picha zake ila mimi sikumtumia nikamwambia nitakutumia picha kabla ya siku moja kuonana.
Ilikuwa siku ya ijumaa nikatoka kazini nikaenda kijijini huko nilipiga picha nyingi nikiwa nalima, nakamua, niko kisimani kama mjuavyo maisha ya kijijini wale walioishi kijijini wanajua na picha hizo nilipiga nikiwa na mwanangu.
Siku ilipowadia akaniomba picha nikamtumia aisee alinipotezea nikawa nampigia simu hapokei, anapokea siku akijisikia, nikutuma msg hajibu na anajibu kwa kujisikia, nilimbembeleza tu basi tufamiane tu inatosha tupo wilaya moja hilo akakubali na akanipangia siku ya kukutana naye, nikasema sawa.
Siku hiyo niliuvua hiba yangu ya ualimu nikauvaa usekretali, nikaenda na mtoto wangu, aliniuliza mara mbili mbili ni ww au ni mwingine, nikamjibu zoom hizo picha uone ni sisi au ni wengine. Tukapiga story sana baadaye tukaagana kila mtu akarudi alipotokea sasa ni zamu yake. Sipokei wala sijibu msg zake, J tumeshajuana hiyo inatosha
Wanawake ukituma picha jipondoe tu, ila ukiwa na malengo ya kumtafuta mtu wa maisha hebu jiweke katika hali ambayo atakupenda hivyo hivyo asikupende sababu za picha ulizojipaka make up.
Walijitokeza wanaume wengi wao walikuwa mbali na mkoa niliopoa, ila kuna mmoja tulikuwa wilaya moja. Huyu ndiye nilimuona anafaa sana.
Alinitumia picha zake ila mimi sikumtumia nikamwambia nitakutumia picha kabla ya siku moja kuonana.
Ilikuwa siku ya ijumaa nikatoka kazini nikaenda kijijini huko nilipiga picha nyingi nikiwa nalima, nakamua, niko kisimani kama mjuavyo maisha ya kijijini wale walioishi kijijini wanajua na picha hizo nilipiga nikiwa na mwanangu.
Siku ilipowadia akaniomba picha nikamtumia aisee alinipotezea nikawa nampigia simu hapokei, anapokea siku akijisikia, nikutuma msg hajibu na anajibu kwa kujisikia, nilimbembeleza tu basi tufamiane tu inatosha tupo wilaya moja hilo akakubali na akanipangia siku ya kukutana naye, nikasema sawa.
Siku hiyo niliuvua hiba yangu ya ualimu nikauvaa usekretali, nikaenda na mtoto wangu, aliniuliza mara mbili mbili ni ww au ni mwingine, nikamjibu zoom hizo picha uone ni sisi au ni wengine. Tukapiga story sana baadaye tukaagana kila mtu akarudi alipotokea sasa ni zamu yake. Sipokei wala sijibu msg zake, J tumeshajuana hiyo inatosha
Wanawake ukituma picha jipondoe tu, ila ukiwa na malengo ya kumtafuta mtu wa maisha hebu jiweke katika hali ambayo atakupenda hivyo hivyo asikupende sababu za picha ulizojipaka make up.