Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Hivi kwa nini watoto wa kike
wakisha zaa huwa hawaya thamini
matiti yao??? .. Jana hv wakati
nipo kwenye gari kuna dada
mmoja hv akatoa titi lake akawa
anamyonyesha mtoto wake .. Mi
nilikaa nae siti moja nikamwambia
dada ingekuwa vizuri ungemfunika
na baby show au hata na kanga
hizo sio vizuri maana sisi
wanaume tumeumbwa tofauti
wengine wakiona matiti tu hali
inakua mbaya afu wengine pia
tunaona kinyaa kuona maziwa
hayo mtoto anayonyonya .. Daah
basi yule mdada alinikataa jicho
hilooo Yani Obtuse angle kisha
akanipiga msonyo huuuuoo
sijawahi usikia .. Aah ilinibd
nishuke kituo kinachofuata ...
Eti wanawake jamani kwanini hamthamini matiti yenu baada ya kuzaa.
hahahaha jana ulionja Chungu ya bibi yaan hapo ndo ujifunze kuachana na mambo yasiyokuhusu,unadhan wengine hatuyaoni??,tunayaona tunaacha,hata mimi jana niko kwenye daladala nimekaa na dada ambaye alikua akimnyonyesha mwanae,ila kwakua halinihusu nikamuacha,na si mara 1 mdau
Last edited by a moderator: