Wanawake na Kununa/Kususa

halafu wanafanana kweli wakiwa wamenuna,
lol...sijui ndo nature?
Kuna wengine hawanuni wakagoma kusema tu , unakuta limama limenuna hata kupiga msuwaki halitaki eti linakukomoa usiombe denda. khaa! wanawake ni kipimo cha uvumilivu bana
 
Vile vimishkaki vya paka eee!! nasikia wanakamata paka wazururaji wanachinja then wanauza nyama hivo navo nimevila sana, na sharti lake lazima niingie kituoni, imagine kituo kama mwenge kinavyokuwaga jioni.jasho jembamba linanitoka nakula mishkaki kama thetasini hv huwa vidogo kama punje ya karanga
 
Lakini Gaga unaweka hiyo minuno yako,
kwakuwa wa kumnunia yupo karibu, na yeye actually ameiaccept hiyo minuno,
kwa wengine usithubutu kabisa kununa, utajuta!!!!!!!!
utapotezewa si kitoto!!!!!!!!!!
Unaangalia situation unafikiri unanuna tu ovyo, unajua kabisa hapa nikinuna nitabembelezwa, ila kwa ukweli katika maisha ya kawaida huwa sina tabia ya kununa kabisa, yaani naweza kujifanya nimekasirika na kununa ila nikilala najikuta nimemkumbatia na kwa vile anajua amekosa atajituliza tuliii, nikistuka na kukumbuka nilikuwa nimekasirika inakuwa too late
 
Kwa kweli dada Umeongea.
Unabembeleza mpaka unachoka kila siku zinaposogea.shida sasa akizoe hiyo Kudeka na kusikilizwa.
Juzi tu nimevunjiwa simu, eti hao wanaonipigia simu ndiyo wanafanya siku hizi me nisimsikilize na kumdharau, mpaka kakonda kwa fikra za kijinga,jamaani!!
yaaani ananikera sana, mpaka marafiki wananipa pole na siku hizi wameamua kumuita wife wangu PASUA KICHWA!!
 
<br />
<br />
Gaga umeniua leo yaani umemchekesha my wife hapa anasema kumbe mko wengi
 

Hapo kwenye bluu hapo jamani umepiga Ikulu. Yaani katika vitu vinavyonikera katika mahusiano ni exactly hicho ulichoandika hapo kwenye bluu. Ni mara mia ya mwanamke anayependa sana shopping kwa kuwa pesa zinatafutwa, tutatafuta kuliko mwanamke ambaye ni UNREASONABLE! Yaani kununa nuna tu! Aaaagh!!
 

Hahahahaha! Hiyo kali, kununa is fine ili isizidi sana jamani kina dada khaa! Yaani sasa mpaka inakuwa kero!
 

Aisee pole sana mzee. Hapo sasa inakuwa siyo kununa tena bala ni mwanamke kuwa UNREASONABLE, hiyo ni kero kubwa sana kwangu!
 
Kuna zile za kununiana siku nzima, halafu usiku wa manane unaota unakula uroda 'bab kubwa!,'
kufumba na kufumbua unashtuka usingizini wewe na mamsap mmebanana ndivyo sivyo kiasi kwamba inabidi muendelee tu..
he he he...maisha haya! ...6"6 oiyeee!!!
 
Mwanamke siku zote ni mtu wa kupenda care, achilia mbali hisia zake kwa mwanaume wake. Hununa kumfanya mwanaume wake awajibike kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…