Wanawake na hili mnasubiri wanaume tuandamane?

Wanawake na hili mnasubiri wanaume tuandamane?

wewe mtoa mada unatafuta matuc kutoka kwa ndugu zetu walee kina yaheeee..... umeshalipiwa weyee.. wale ambao ndugu waziri kivuli alisema chama chao kinafuata mrengo ulee... wa 0713\0714.. yahee mimi napita etii...
 
Yaani nyie mkubali wenyewe kuliwa kabang hlf sie tulalamike? Mtajijua wenyewe na raha zenu...

mbaya zaid wenyewe wanaokula nao ni mashoga hakuna haja ya kuandamana coz hakuna mwanaume wote wanawake tu
 
jamani naulizaa shoga ni yule anaekula au anaeliwa? au wote?
 
Kila kona ni ushoga, viongozi wakuu ndio wanazidi kuupalilia... Kuna hatari siku za usoni wanawke wakakosa watu wa kuwaoa. Wenyewe wamekaa kimyaaaa! Hawataki hata kuandama kulipinga hili! Au wanawake mnapenda kukaa bila kuolewa? Au kushare wanaume? Je, na hili mnasubiri wanaume waandamane kama kawaida yenu?

Hehehe umenichekesha sana, kwa hiyo tuandamane waache tabia ya kishoga wakati wanapenda? Wenye watoto wa kiume muanze kufunga na kuomba ili watoto wetu wasiwe mashoga, hao waliokwisha kuwa mashoga waoe waendelee tu maana ndiyo maisha waliyochagua.
 
Back
Top Bottom