Wanawake muwe mnatukataa kweli kweli

Wanawake muwe mnatukataa kweli kweli

Sasa mtu anakataaje uongo!!! Akisema hataki anamaanisha, sasa hiyoo ya kuanza kutukana sio
 
Me napenda kama dem hanitaki anionyeshe live ikibidi asinijib meseji zangu..ila akianza kuchat chat na mimi nahisi anaenda kunikubali sasa kwanini aendelee kunichora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom