Mmmh kwanini usiwepo?Hakunaga urafiki wa mwanamke na mwanaume
Mmmh kwanini usiwepo?
NdioNature
Marafiki zako wa kiume wanakujaga kwako kukutembelea?!
Ndio
Hivyo ndivyo unavyotakiwa uwe mpenzMdogo wako hata ata sina tabia hiyo, namshukuru m'mungu kwa kweli.
Nakusalimia pia.
mkuu wote tunaishi dunia hiihii na wanawake ni hawahawa,Kwanini asichat na wanawake wenzie? Hio tabia inaboa sana,,,tatizo labda huwajui wanawake na akili zao mkuu. Utaona km unamnyima uhuru ila mpe tu lazma atau misuse tu. Siku anakulilia ni shetani kampitia ndio utatia akili.