Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,198
Nawe usiwaombe vyao
Humu watu wanastress sana na wanawake maana kila siku ni kuwasema tu hata hamuwasifii hata kidogo, a true classy man does not wait for his lady to ask for money he provides for her before she even thinks of asking for it call it clairvoyance😎
tumejuana hata wiki aijafika nikamsifia Dada umependeza duh akaniambia naomba pesa Nina njaa nikamchana liveAskari muoga threads zako fupi mixer zinachekesha
Ina maana from nowhere mtu kaja kukuomba pesa?
Kama Gari vile, weka mafuta ndio upige miseleHivi nyie munashindwa kutafuta pesa wenyewe hadi munakuwa kama omba omba,MTU nimekujua dk mbili tu unaniambia una njaa ww VP kwa iyo mm mpishi,Mara Ohoo sina vocha uza simu ukanunue vocha ,muna tabia mbaya sana ya kuomba omba pesa kwa watu musio wa jua
Mashambulizi yamezidi ukubwa wa jeshi lenyewe, wazungu walisema "if you cant stand the heat, get out of the kitchen"Wanawake ni Jeshi kubwa sana.
Wee jamaa hutaki kuchunwa upo vizuri ndio maana mimi sitaki mademuHivi nyie munashindwa kutafuta pesa wenyewe hadi munakuwa kama omba omba,MTU ukanunue vocha ,muna tabia mbaya sana ya kuomba omba pesa kwa watu musio wa jua
Hahaha azae tu kwa uchungu aisee kama hataki kutafuta mkwanja.Mungu aliyosema mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho ulidhani anafanya masihara.
Chagua 1 boss, uzae kwa uchungu ama utafute hela yako na demu wako.
Shaka ondoa my elegant Miss rubii...Teh..watu na watu wao!