Wanawake mtatuua

Wanawake mtatuua

Anamaanisha tigo ndio mtindo wa kisasa,kwa nini umlaumu? tigo si ipo na inapendwa zaidi au?,ina maana wewe umepitwa na wakati,sababu yeye kuja huku akiwa kwenye siku zake ni wewe wa kujiongeza ili utafune vitu adimuuuuu eboooo.
Kumbe mi buege eeh?
 
Hivi na nyie mbona mnakuwaga wagumu sana kutoa kama bado hujamchuna?
Huwa tunakua hivyo kutokana na nyie wapo wanawake unamtongoza leo na anakupa siku hiyo hiyo hapo unakua umemhonga saa ngapi? Kupewa au kunyimwa kunatengenezwa na nyie wenyewe
 
Huwa tunakua hivyo kutokana na nyie wapo wanawake unamtongoza leo na anakupa siku hiyo hiyo hapo unakua umemhonga saa ngapi? Kupewa au kunyimwa kunatengenezwa na nyie wenyewe
Aisee itabidi nikupigie tu,,,
namba yako si inaanzia na sifuri ee??
 
Huwa tunakua hivyo kutokana na nyie wapo wanawake unamtongoza leo na anakupa siku hiyo hiyo hapo unakua umemhonga saa ngapi? Kupewa au kunyimwa kunatengenezwa na nyie wenyewe

Funny girl...

Vile vile pia wapo wanawake ambao unaweza kuwa nae kwenye relationship hata mwaka mzima unapita bila yeye kukuomba hata Tsh.100... mkipanda nae gari yeye ndio analipa nauli, mkienda nae restaurant bill ya chakula anasimamia yeye even in other financial affairs anakupa ushirikiano wa kutosha.

mwanamke wa dizaini hii siku akikuomba hela hata kama iko nje ya uwezo wako utaitafuta mpaka uipate.

Kwa hiyo kupewa hela au kunyimwa kunatengenezwa na nyie wenyewe.
 
Huwa tunakua hivyo kutokana na nyie wapo wanawake unamtongoza leo na anakupa siku hiyo hiyo hapo unakua umemhonga saa ngapi? Kupewa au kunyimwa kunatengenezwa na nyie wenyewe
Hahana nyinyi Wengi wenu wababaishaji zaidi ya mara moja nimeskia "asimpe au usimpe mapema amchunechune kwanza/mchunechune kwanza" inamaana gani unafikiri.
 
Unapanga na msichana mkutane hotelini kwenda kupiga mechi ya mchanga, anakwambia hana pesa ya nauli unamtumia nauli, anafika hoteli anaagiza msosi mnakula msosi wa wanguvu. Kidume unatoa pesa kwenda kulipia room mpige mechi, mnaingia mpaka kwa room wewe na mpenzi wako.

Ile unamuandaa ili muanze tukio anakuangalia usoni kwa huruma kama mbuzi wa hitima alafu anakwambia baby nipo kwenye siku zangu. Hapo umeshapoteza pesa yako nyingi wasichana nani aliyewaloga akili zenu kwanini usiniambie mda mrefu unakuja unakula msosi wangu napoteza pesa zangu alafu unanambia upo kwenye siku zako, siku zipi sasa Ijuumaa au Jumatano?
Zaba kibao, halafu unaomba msamaha
 
Ukitaka kula lazima uliwe kwanza,usihofu utakula tu kuwa mstahamilivu bob
 
Hahana nyinyi Wengi wenu wababaishaji zaidi ya mara moja nimeskia "asimpe au usimpe mapema amchunechune kwanza/mchunechune kwanza" inamaana gani unafikiri.
Ahahaa.. hiyo kanjanja tu ndio wale wale.
Sijui inafikiri nani hajui vitabia vyao vya kutanguliza pesa kabla ya kukubali kuvuliwa,

Alafu tukiwaambia wanauza inakuwa ugomvi.
 
Stori nyingi mpaka chumbani sasa aibu gani wanaume tupewe kitchen party? Never to real man
 
Mi huwa na wasokomezea ivo ivo siku zake atajua yeye kimpango wake mana wengine wezi!
 
Kila siku nakuambia ,,, Usiumize kichwa juu ya hawa viumbe,, siku hizi mi hata vocha situmii ,,,wameshuka bei sana,, nitashangaa kama bado mnasumbuka nao,, na wapo wengi sana, so uchoke laalama hapa
 
Kuna m1 aliniletea km izo mbona alikoma 0655 ilibidi ihusike analia mi maskio nimeziba mpk nkashusha wazungu!
 
Back
Top Bottom