Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Duh, na wewe ni mchepuko wa waziri gani?
Mzee wa iyena iyena...
Duh, na wewe ni mchepuko wa waziri gani?
Wewe huwezi kuwa mchepuko wa mtu fulani?
Kwani mamipira ndo yanazuia ukimwi? Michelin na ugumu wake zinapata pancha sembuse hako ka nylon?
Tutawamaliza kivipi bwanaaa? Acha hiyo Hasty Generalization, mi nimekupa mfano wa mtu anayeishi maisha nje ya uwezo. Sasa wewe tafuta unayeendana nae, mfano mimi siendeshwi maisha yangu na nini kimeingia mjini au flani kavaa nini au anaendesha gari gani nami niwe nalo Noo! So ukimalizwa unapenda tafuta unayeendana naye as simple as that.So wewe unaona maisha ndivyo yanatakiwa yawe hivyo? NDIO MAANA NIMESEMA Mnatumaliza
Don't mind about Avatars...This is JF...
ndo huyo kwenye hiyo avatar yako?...Sasa kumbe huyu mwanamke nilidhani namjua kumbe simjui aisee.
Mzee wa iyena iyena...
I like ur signature.......
It says alot..... who is Audrey Hepburn
hapana mkuu usije kuanza kunitafuta mtaani bureee!Unamfahamu?