Wanawake mtatumaliza

Wanawake mtatumaliza

Sasa mnamalizwa kwa kipi mi naona huko ni kusaidiana majukumu...
angekuomba hela ya hizo safari ungeweza?
Kwa mheshmiwa anapata hela kwako anapata dushe
equation inabalance!!!

Usichukulie kirahisi hivo evelini solt...mi situmiagi mami pira ati...sasa unataka mimi nife kwa uzembe hivo jamani...uaminifu muhimu ati......
 
Usichukulie kirahisi hivo evelini solt...mi situmiagi mami pira ati...sasa unataka mimi nife kwa uzembe hivo jamani...uaminifu muhimu ati......
Kwani mamipira ndo yanazuia ukimwi? Michelin na ugumu wake zinapata pancha sembuse hako ka nylon?
 
Kwani mamipira ndo yanazuia ukimwi? Michelin na ugumu wake zinapata pancha sembuse hako ka nylon?

On serious note Avelini Solt...ukiacha hilo la mipira....Kama mimi ningekuwa ni kaka yako ...would you recomend this girl to be married to me?
 
Kwa hiyo huyo bint kukufanya plan B ndio umeona wanawake watawamaliza!!!
Achana nao,tafuta ambao hawatawamaliza
 
Bora ulivyoamua kushusha mikono chini kwa usalama wako, usishindane nao hao, angegundua angeweza hata kukutumia watu wakumwagie tindikali

Tindikali si bora,anawatuma wale wajuao kutumia ule mtandao wa simu wenye kipicha kaa sura ya mtu kwenye herufi ya mwisho.
 
On serious note Avelini Solt...ukiacha hilo la mipira....Kama mimi ningekuwa ni kaka yako ...would you recomend this girl to be married to me?

Uuups mapenzi ni ya wawili kaka angu, nisingetia neno mie...
 
Ungegeuza changamoto kuwa fursa kwa mda mfupi.Mchune maana izo safari ni za ela then umuache na mbunge wake.
 
mkichepuka nyie sio tatizo ila tukichepuka sie maneno kibao!!kwanza kwa jinsi udanganyifu ulivyo mwingi hasa kwa wanaume bora iwe hivyo tu kama noma na iwe noma tu!!.,
 
Tindikali si bora,anawatuma wale wajuao kutumia ule mtandao wa simu wenye kipicha kaa sura ya mtu kwenye herufi ya mwisho.
aisee, Hapo mnarani ni hatari sana
 
Hiyo kawaida na ni sawa kabisa kwa huyo mpenzi wako kwa kuwa ndio lifestyle aliyochagua. Sasa kama ana kipato cha kawaida Vitz hataki kuendesha ataka Rav4 ya kisasa, Brazilian/ Peruvian hair, Perfume Chanel, Handbag-LV,MK,Coach n.k,Kiatu-JimmyChoo,MK,CL n.k. Weekend vacay- Zanzibar Zamani Kempinsk au Ras Nungwi. Anakiwanja kigamboni anataka amalizie nyumba au bboutique yake anataka iwe na branches Ar na Mwz.
Sasa we utampatia hiyo hela au unamletea stori tu. Mbunge ye hana tatizo akiambiwa tu mafuta ya gari anampa check ya million teh teh.
Napenda kutuma salamu kwa dada Ufoo bila kumsahau muheshimiwa Mzito Kabwela.
 
Hiyo kawaida na ni sawa kabisa kwa huyo mpenzi wako kwa kuwa ndio lifestyle aliyochagua. Sasa kama ana kipato cha kawaida Vitz hataki kuendesha ataka Rav4 ya kisasa, Brazilian/ Peruvian hair, Perfume Chanel, Handbag-LV,MK,Coach n.k,Kiatu-JimmyChoo,MK,CL n.k. Weekend vacay- Zanzibar Zamani Kempinsk au Ras Nungwi. Anakiwanja kigamboni anataka amalizie nyumba au bboutique yake anataka iwe na branches Ar na Mwz.
Sasa we utampatia hiyo hela au unamletea stori tu. Mbunge ye hana tatizo akiambiwa tu mafuta ya gari anampa check ya million teh teh.
Napenda kutuma salamu kwa dada Ufoo bila kumsahau muheshimiwa Mzito Kabwela.

So wewe unaona maisha ndivyo yanatakiwa yawe hivyo? NDIO MAANA NIMESEMA Mnatumaliza
 
Sasa mnamalizwa kwa kipi mi naona huko ni kusaidiana majukumu...
angekuomba hela ya hizo safari ungeweza?
Kwa mheshmiwa anapata hela kwako anapata dushe
equation inabalance!!!

Hahahahaha nimeipenda hii Evelyn Salt


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Piga mzigo mkuu ila tumia kinga usije vuta mapema bure wote ndo wako hivyo sema tofauti yao ni kwamba huyo ka mkamata mbunge wengne wanaruka na vizee vya MIAKA70,ila uwe mwangalifu na umwambie hakuna ndoa hapo n kiburudisho tu kwa kwenda mbele,,,,.ukichoka sepa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom