Wanawake msituulize maswali haya

Wanawake msituulize maswali haya

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,213
Reaction score
9,334
Wanaume hebu tiririkeni maswali ambayo hampendi kuulizwa na wake au wapenzi wenu ili wayajue. Mie swali linalonichosha ni kama nikiulizwa "una ratiba gani leo"?
 
Wanaume hebu tiririkeni maswali ambayo hampendi kuulizwa na wake au wapenzi wenu ili wayajue. Mie swali linalonichosha ni kama nikiulizwa ""una ratiba gani leo"?

Anataka akupige chenga ya mwili nini?? Ukimjibu kazini mpaka saa kumi na yeye kwa kidumu mpaka saa kumi hahahaaaaa....!!!

Wengine huuliza hivyo ili ajue kitu gani anakufanyia saa ngapi na mambo yake na yeye ayafanye saa ngapi!! Mfano ni weekend unaenda job nusu siku anataka ukirudi home ukute kakuandalia maakuli maalum kwa mume....!!

Mengine ni hisia zetu tu za kiume......!!!
 
Anataka akupige chenga ya mwili nini?? Ukimjibu kazini mpaka saa kumi na yeye kwa kidumu mpaka saa kumi hahahaaaaa....!!!

Wengine huuliza hivyo ili ajue kitu gani anakufanyia saa ngapi na mambo yake na yeye ayafanye saa ngapi!! Mfano ni weekend unaenda job nusu siku anataka ukirudi home ukute kakuandalia maakuli maalum kwa mume....!!

Mengine ni hisia zetu tu za kiume......!!!
umegusia kitu cha msingi hapo mwanzo
 
Back
Top Bottom