Wanabodi, Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Niko huku mkoani Mbeya kwenye Nane Nane, tangu nimefika huku, nimekutana na baridi fulani ya ajabu! haswa nyakati za usiku na alfajiri, hata utumie blangeti la chapa nini, au chapa nani, baridi...