Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Nooo!! ni mke wa mwenye simu na wallet,nadhani mume alimwambia mke kua simu imepotea sasa alipopiga nikapoa mie ndio mvua ya matusi akaniporomoshea,lakini later alipo piga mumewe alikua mstarabu sana na ile wallet ilikua na ID yake
na PW alinipa akanambia kuna picha hii na hii....

Ohoooo okay sorry sikuwa nimeelewa mwanzoni. Hapo alifanya makosa. Msamehe bure. Inaonekana hajiamini ndani ya ndoa yake
 
Ohoooo okay sorry sikuwa nimeelewa mwanzoni. Hapo alifanya makosa. Msamehe bure. Inaonekana hajiamini ndani ya ndoa yake
its okay, yule mwanamke nimemsamehe nakumuonea huruma juu,manake anaonyesha wazi kua amekalia kuti kavu kuanguka si ajabu.
 
Hahahah umenikumbusha zamani nilikuwa nina hasira mtu apokee simu sio yake.

Basi bwana mwenye simu na aliyepokea simu majina yanafanana halafu ni ndugu, sasa sauti ya muhusika naifahamu, namwambia namtaka fulani (nataja jina), ananiambia ndio mimi, kila nikisema sio wewe yeye anabisha, "nilishusha mafuriko ya maneno mabaya" hakutegemea nikamwambia kama kakutuma uchezee akili yangu siku nyingine hutarudia.

Duuuh huu ndio ulikuwa mwisho wa kuongea hovyo kwenye simu, maana nikaitwa kutambulishwa yule nilomtukana, nilitambulishwa vizuri utapenda,"kaka fulani huyu ndo fulani mke wangu mtarajiwa"(hapo nyumbani washapeleka posa washapangiwa mahari ndo wanajipanga wapeleke), nae akajibu, "anhaaa, nashukuru kukufahamu, lakini si ndio huyu ulozaa nae" akajibu ndio basi kaka yake akamalizia, "kama ndio huyu nafurahi sana maana nilishasikia sifa zake kabla, anafaa"

Mimi macho chini pale nikaanza tena kuomba samahani, nashukuru alikuwa muelewa akanisamehe na hakuna aliyejua zaidi ya sisi watatu, ila nilijifunza sana siku ile(huyu ndugu yake alikuwa anaishi mbali hivyo sikuwa namfahamu kabla na jina nilishatajiwa ila nilisahau). Sitarudia teeeeenaaaaaaaa

sipati picha siku hiyo ulikuaje.
 
Duh! Pole Ila Na Wewe Usamaria Umezd Kipimo

Umeona eeh.!! Yani upele unapewa aso kucha kweli, minadhani hata mumewe anamuona zuzu ulipo mweleza Manake yani natamani niwe mm...
 
Wanawake wengine akili zao mbovu Sana , wanahitaji kupewa fundisho ili wajue good manners.
 
Wanawake wengine akili zao mbovu Sana , wanahitaji kupewa fundisho ili wajue good manners.
Huyu nilimuonea huruma sana,nilihisi hajiamini mpaka amechanganyikiwa,its not normal mtu anapokea simu hata salam hutoi unaanza kutukana yani jee angekua mamake mzazi au mkwewe?
 
Mie mbona ningezichukua, ananitukana Kwa wema Wangu kisa chake?
Mkuu nyuki sikuzote huponzwa na asali yake,na watu kama hawa hua nawaonea huruma sababu unagombana na mtu hata kesho akipita hapo humjui sasa mie na ignore,as long as niko mzima kwa mwenyezi mungu lipo fungu langu...
 
Back
Top Bottom