Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Majibu ya huyo dada ni kielelezo cha mambo anayopitia katika ndoa yake. Mambo yamemkaba hawezi ku reason tena. Ingekuwa hakuna maruweruwe katika ndoa yake, asingejibu namna hiyo. Hata unyasi anadhani ni nyoka. Pamoja na kumlaani, ni wa kuonea huruma.
 
sio ajabu huyo jamaa alifika huko kwingine na kuomba msamaha tena, kuna wanaume wameshikika
 
Majibu ya huyo dada ni kielelezo cha mambo anayopitia katika ndoa yake. Mambo yamemkaba hawezi ku reason tena. Ingekuwa hakuna maruweruwe katika ndoa yake, asingejibu namna hiyo. Hata unyasi anadhani ni nyoka. Pamoja na kumlaani, ni wa kuonea huruma.
kuna nguvu na hekima katika kutulia

Mwanamke mpumbavu hupiga kelele, huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe Mithali 9:13, 14:1
 
Mara zote sie wanawake tuna roho mbaya,
Unatukana mtu hata usiyemjua;

Lakini ulifanya tu kosa moja,
Ungefungulia kule kule ulikookota, uchukue chako vyake mwachie huko huko;

Dunia hakuna wema kabisa.[/QUOTE
Apana Mkuu sio kosa kurejesha mali ya mtu na amini wakati nimeokota hiyo hela nilikua na elfu 40 tuu ATM card yangu ilikua haifanyi kazi nimekwenda bank wamenambia itachukua 5days nikasema sawa,nikaingia super market nikanunua vitu kidogo nataka kuingia ndani ya gari Hamadiii pochi hiyo.......
 
US D 3,210 zaidi ya 6M! Be blessed. Katika hizo hajakupa hata ka US D 1,000 kama shukurani?
Hajanipa na siwezi kumlaumu sababu nimemwambia ahesabu pesa yake kahesabu kasema sawa mie nimeondoka,nimemwacha ameduwaa na hakua na number yangu ya simu ..
 
sio ajabu huyo jamaa alifika huko kwingine na kuomba msamaha tena, kuna wanaume wameshikika
Halafu yule Jamaa anaonyesha kua gentle man sasa sijui upole wake ndio yule mkewe anachukua advantage,lakini haya watajijua uko nyumbani akifika na simu kama ataitia chooni au ndani ya sufuria ya mchuzi.
 
Majibu ya huyo dada ni kielelezo cha mambo anayopitia katika ndoa yake. Mambo yamemkaba hawezi ku reason tena. Ingekuwa hakuna maruweruwe katika ndoa yake, asingejibu namna hiyo. Hata unyasi anadhani ni nyoka. Pamoja na kumlaani, ni wa kuonea huruma.
Kwa kichambo alichonipa inaonyesha wazi hajiamini hata robo,yani kaongea yeye kacheka yeye katukana yeye,yani anahema pumzi juju nilisema hizi ndoa nyengine hizi....
 
Hajanipa na siwezi kumlaumu sababu nimemwambia ahesabu pesa yake kahesabu kasema sawa mie nimeondoka,nimemwacha ameduwaa na hakua na number yangu ya simu ..

Anyway, kila binadamu na mambo yake. Ungenyamaza angekosa vyote. Lakini nakuhakikishia ulifanya vyema kumpa vitu vyake.
 
Kwa kichambo alichonipa inaonyesha wazi hajiamini hata robo,yani kaongea yeye kacheka yeye katukana yeye,yani anahema pumzi juju nilisema hizi ndoa nyengine hizi....

Huyo lazima ana mgogoro mkubwa kwenye ndoa yake. Uwezo wa kufikiri umeathiriwa na mgogoro huo!
 
shosti nilicheka alipo sema mimi nimeasirika na wewe pia umeasirika hapo tuu ndio nikajua huyu sie kabisa.....

Sasa kupoteza hivyo vitu na kuathirika kuna connection gani? Au alihisi umehongwa na bwanake?
 
ungemwambia huyo jamaa aje achukue mzigo wake ILA TU aje na huyo demu.., afu unawapa tu bila kusema kitu...., hawezi rudia tena
 
Sasa kupoteza hivyo vitu na kuathirika kuna connection gani? Au alihisi umehongwa na bwanake?

Yeye alikua anapiga simu ya mumewe,ndio nikaipokea mie yani ila hallow ndio hakuna salam wala nini kichambo kikaanza
ndio akasema kwa taarifa yako mimi nimeasikirika ndio nilipo muona sie kabisa...
 
ungemwambia huyo jamaa aje achukue mzigo wake ILA TU aje na huyo demu.., afu unawapa tu bila kusema kitu...., hawezi rudia tena
nikwambie ukweli mwanzo nilitaka kufanya hivyo lakini baadae nikaona nikupoteza mda wangu kama hajafunzwa heshima
kwao siwezi kumfundisha mimi,na hata huyo mumewe sikutaka hata nimpigie kwa number yangu wala ajue ofisi yangu
watajijadili wenyewe,wakati nampa huo mfuko wake anatetemeka sijui alinifikiri mie JINI, na vile nilivyokua simuangalii machona na haraka nilokua nayo atajijadili mwenyewe.....
 
Back
Top Bottom