Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Wanawake msikurupuke kutukana watu wakipiga simu

Hahah sasa kama alikuwa na bifu na mwenye simu na alikuwa anajua hiyo ni simu yake na alipanga kumtukana ulitaka aanza na.... shouger mambo? Mzima? Familia? Haya we hayawani nisikize tena unsikize uzuri mxiichexxx... nakwambia shcxxxf kabisa?

Mi nlidhani alokutusi ni huyo alopoteza vitu vyake kuwa kakutusi akidhani umeviiba!!
 
Hahah sasa kama alikuwa na bifu na mwenye simu na alikuwa anajua hiyo ni simu yake na alipanga kumtukana ulitaka aanza na.... shouger mambo? Mzima? Familia? Haya we hayawani nisikize tena unsikize uzuri mxiichexxx... nakwambia shcxxxf kabisa?

Mi nlidhani alokutusi ni huyo alopoteza vitu vyake kuwa kakutusi akidhani umeviiba!!
Nooo!! ni mke wa mwenye simu na wallet,nadhani mume alimwambia mke kua simu imepotea sasa alipopiga nikapoa mie ndio mvua ya matusi akaniporomoshea,lakini later alipo piga mumewe alikua mstarabu sana na ile wallet ilikua na ID yake
na PW alinipa akanambia kuna picha hii na hii....
 
hizi bahati sijui kwa nn zinawafwata watu wasioziitaji..uliokota wapi mkuu na mm niwe najipitishapitisha area hizo
 
anauma kuliko kristapen

aaah umenikumbusha hii sindano daaa!!! nilichomwaga hakuna rangi sikuona, hivi bado zipo eeh? manake sitaki kuzisikia kabisa

Back to the point: inaonekana jamaa malaya sana mpaka mke hamuamini anamhisi hisi tu kila wakati
 
aaah umenikumbusha hii sindano daaa!!! nilichomwaga hakuna rangi sikuona, hivi bado zipo eeh? manake sitaki kuzisikia kabisaBack to the point: inaonekana jamaa malaya sana mpaka mke hamuamini anamhisi hisi tu kila wakati
wivu ndugu wivu
 
Pole watu wapo tofauti.kuna wanawake akikupigia simu usipopokea message itakayofuata utatamani ardhi ipasuke uingie.
 
hizi bahati sijui kwa nn zinawafwata watu wasioziitaji..uliokota wapi mkuu na mm niwe najipitishapitisha area hizo

Ubungo CRDB ile iliyokua next to Uchumi supermarket,tena nilikua nimekasirika nilikwenda kutoa card mpya ya ATM yule mdada wa customer care akanitibua na majibu yake sasa nilipotoka nikasema niende kununua vitu vya nyumbani ..
 
Nimeamini hela kwa mangi ndio yake kipindi hiki unarudisha hela yenye thamani ya vitz kiulaini hivyo
Lol Mkuu apana ile pesa nisinge mpata mwenyewe ningeitoa sadaka police nisinge ipeleka,lakini mwenyewe yupo dhambi sana kumdhulumu mtu na dua ya kudhulumiwa mungu anaipokea haraka sana..
 
Pole watu wapo tofauti.kuna wanawake akikupigia simu usipopokea message itakayofuata utatamani ardhi ipasuke uingie.
Ahsante,huyu mwanamke niseme ni wale wa sijui ametoka wapi hata i cant explain,anatukana kuna maneno mengine anasema hata sifahamu anasema nini nilimwacha aseme tuu...
 
chezea mume ww??
Naelewa kua mume anauma sio peke yake mwenye mume lakini unaanzaje kumtukana mtu wala hujui alitaka kusema nini,nilimwelezea rafiki yangu akanambia nyama kapewa aso meno,yani mkewe amekutukana kwa hisani umepokea simu ili urejeshe pesa tena pesa kama mimi ningemwambia sasa kula jeuri yako pesa nachukua nakumtukana juu, nimeishia kucheka tuu..
 
Kuna watu na viatu duniani pole na hongera kwa kumvumilia endelea kuwa na moyo wa ivo.
 
Back
Top Bottom