Wanawake msaidieni mwenzenu

Wanawake msaidieni mwenzenu

pilato93

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
6,963
Reaction score
7,648
Screenshot_20220618-121628.png
 
Weka namba yake tutoe sadaka....ila hilo la kwanza la mwanaume yeyote awe baba wa mtoto asahau tena asahau kabisa wanawake siku hizi wamekuwa ni watu wa hovyoo na hawaaminiki tena.
 
Unaweza kujitolea, ukamsaidia na hata kuwa baba wa mtoto ila cha kushangaza anaweza kuja jamaa kwa kigezo cha kulea mtoto pamoja na wewe ukapigwa chini.
Hawa wanawake siyo binadamu wazuri, km unajitolea jitolee siyo kumuoa na kuwa baba wa mtoto.
 
Unaweza kujitolea, ukamsaidia na hata kuwa baba wa mtoto ila cha kushangaza anaweza kuja jamaa kwa kigezo cha kulea mtoto pamoja na wewe ukapigwa chini.
Hawa wanawake siyo binadamu wazuri, km unajitolea jitolee siyo kumuoa na kuwa baba wa mtoto.
Ndio maana nimewaambia wanawake wamsaidie mwenzao wewe achana nae
 
Inshort hii issue wahusishe familia yako maana no body anaweza kuwaamini nyie wanawake
Mkuu mimi sio mwanamke, msaada niliofanya ni kuwapeleka wanawake wenzie wampatie msaada hata kumpeleka kwenye taasisi zao huko
 
Back
Top Bottom