kwa iyo wale wa tuma kwenye namba hii wamehamia huku??


Ndio maana nimewaambia wanawake wamsaidie mwenzao wewe achana naeUnaweza kujitolea, ukamsaidia na hata kuwa baba wa mtoto ila cha kushangaza anaweza kuja jamaa kwa kigezo cha kulea mtoto pamoja na wewe ukapigwa chini.
Hawa wanawake siyo binadamu wazuri, km unajitolea jitolee siyo kumuoa na kuwa baba wa mtoto.
Mwenyewe nataka msaada,ni dhambi kutoa sadaka kanisani ingali nyumban watoto umewaacha na njaaHelp your fellow gender
Kumbe mzeya wikend unasaka mbususu badoo
Wee njoo nikuwowe utulie uhudumiweMwenyewe nataka msaada,ni dhambi kutoa sadaka kanisani ingali nyumban watoto umewaacha na njaa