Ajikaze tu, tena kwenye menses unamnyoosha kijana, ukianza ku-ovulate una mseduce mpaka anaona kama dunia yote mpo wewe na yeye🙂Utajua hujui, hapo alikua zake period akakusuuuuza, sasa hivi yupo ovulation amekumiss, mjibu tu kawaida kale mzigo, maisha yaendelee
Dr. Mariposakale mzigo
we dada tuheshimihane bhana mi nina hela ya kulisha wanawake wote tz ndan ya miez 2 nawa 3 nafirisika nb kipind namu mfuatilia alikuwa hanifaham vizur baada ya kupata story zangu kwamba jamaa nmb yake saiv anataka kuinunua crdb ndio hapo kapagawaMwanaume mwenye hana hela huchambwa, mwenye hela husifiwa,maisha hayana huruma. Tutafute hela.
we dada tuheshimihane bhana mi nina hela ya kulisha wanawake wote tz ndan ya miez 2 nawa 3 nafirisika nb kipind namu mfuatilia alikuwa hanifaham vizur baada ya kupata story zangu kwamba jamaa nmb yake saiv anataka kuinunua crdb ndio hapo kapagawaMwanaume mwenye hana hela huchambwa, mwenye hela husifiwa,maisha hayana huruma. Tutafute hela.
Naomba kukusalimiaNdivyo tulivyo, jikaze..
Marhabaa hujambo?Naomba kukusalimia
Hapana SijamboMarhabaa hujambo?
Hapana je tena? Hujambo?Hapana Sijambo
Muache asomeHapana je tena? Hujambo?
Ni wa kusoma?Muache asome
Ndiyo kwanzaaa kaanza shule😁Ni wa kusoma?
Weka hio bia chini kwanza usije ukaimwaga maana unaongea kwa jazba sana huku umeshika bia unataka kuimwaga?we dada tuheshimihane bhana mi nina hela ya kulisha wanawake wote tz ndan ya miez 2 nawa 3 nafirisika nb kipind namu mfuatilia alikuwa hanifaham vizur baada ya kupata story zangu kwamba jamaa nmb yake saiv anataka kuinunua crdb ndio hapo kapagawa
Amekumbuka ATM yakeAlinichamba na kunidharalisha mix matusi na kuniambia nisimzoee nifute namba zake, sikumjibu chochote, zimepita wiki tatu ananicheki kaniambia mbona niko busy sana simtafuti