shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,339
Outstanding benefit unamaanisha hela
ukweli ni kuwa, mke nyumbani hafati chakula, magari ndugu zangu, ndoa inajengwa na kumbinua mkeo, hacha kumuonea uruma mbinue mpaka akojoe, itokee emegency kuwa labda kuna mambo hayapo sawa ndo umuache ila km mzima na mnampunga km wa mshikaji mbinue mkeo.mkojoze mnadhani JIDE Angekaa na Gadner kama hamkojozi? miaka 15? je wazaz wenu wana mda gani kwenye ndoa jiulizeni? mnafikiri mama zenu wanafanya kwa baba zenu ni kwa sababu tunawakojoza vizuri we unaesoma hapa jiulize una umri gani, ila mimi na mamako bado tupo pamoja unafikiri mimi nampa nini zaidi ya dudu?
Dyudyu ya njee imemponza ngekua mm nso mmewe talaka ingemkutia hosi!!Ndio upuuzi wa baadhi ya wanawake. Huyo aachwe tu akafie mbele ya safari
Hahaaaaaa kutapatapa huku akyananiTeh mlikuwa na appointment ya kwenda wapi hadi akupitie? Au mwingine unamsikia "ooh niliteleza", sijui alikanyaga ganda la ndizi[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Once I saw your comment....nkabarikiwa.Hahaaaaaa kutapatapa huku akyanani
Ts not always abt benefits bana,ts having a person with a similar lifestyle, km hao ulotaja wote wako kwenye entertainment industrymoney sio kila kitu ila inaleta security kubwa sana maishani.. hapa sijaongelea pesa tu bali ni benefits ambayo anaipata kuwa nae.. unafikiri beckham ni mjinga kufanya maisha na victoria, au beyonce na jayz, adaeze na joseph yobo.. au diamond na zari..
kuna benefits nyingi sana zinakuja sabab ya huo uhusiano.. kuliko ukichagua cute cute asiye na benefits...
kuna watu wanastic na ma genious ili wasaidie their business,
watu wengi wana stic na watu fulani sabab ya outstanding benefits
HahaaaaaaOnce I saw your comment....nkabarikiwa.
U hali gani kaka
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.
Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa ****** kama ***** lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.
Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.
Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.
Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.
Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.
Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.[/
Mkuu Binadamu sisi ni viumbe wa ajabu sana,niwachache utawakuta na busara,na sijui ni firkra zangu mimi lakini nahisi
mtu anapokua mbali na Muumba wake mengi ya kishetani humkuta,kwafano huyo dada kama maisha mazuri alhamdulillah,sasa hapo nini kilipungua? kama tatizo ni sita kwa sita mnakaa chini mnaongea "Mume wangu tu leo naomba tuongeze kidogo,au labda unaona sio vile ulivyozoweshwa na yule anaekuvutia bangi muelimishe vipi unapenda,
ila huyo kaona bora sasa akahonge yeye manake kama bwana unaemtaka hana na service yake unaitaka nilazima
ununue lakini unajitia nimekupa,sasa fedhea imempata pakuweka sura hana...
Anaitaje majirani kusikiliza matatizo ya kwake? watu wanashangaza sana.Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.