Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Wanawake mnataka nini ili mtulie?

Kigodoro

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
1,665
Reaction score
1,685
Jamani inakera!!! Inakera sana. Au tuanzishe mamlaka ya udhibiti wa ndoa Tanzania??
Ngoja niwape kisa chenyewe.

Kuna mdada mmoja yuko kwenye ndoa mwaka wa 6 huu sasa. Ana mume ni afisa wa serikali ambaye ktk awamu ya JK alikuwa akienda nje mara nyingi kama vile wewe na mm tunavyoenda bafuni kuoga. Kwa awamu hii ya JPM bado jamaa safari za mkoa kwa mkoa hazikatiki. Ana make pesa ya kutosha ktk mishe yake hiyo. Huyu dada aliolewa akiwa kilaza kama jesca lkn mshikaji kampromote mpk mwaka jana kamaliza degree.

Nyumbani kwa mahikaji kuna gari NNE za kufanyia mitoko. Mara nyingi 3 huwa anazunguka nazo mke, maana mume hupendelea kuitumia mojawapo kwa masafa.

Sasa ndugu zanguni juzi kakutwa laivu akigegedwa na mshefa (mfanyakazi mwenzie). Ni mchovu tu hana chochote kainua kifua kwa kunyanyua vyuma visivyo na viwango.

Ndugu, jamaa na majirani tukaitwa kwenye mjadala huo. Dada hana anachojibu. Anabaki kumtupia mzigo shetani.

Daah! Inauma! Eeeh! Acheni jamani.

Mm nimekata tamaa kabisa. Kama dada anabadili gari kulingana na nguo aliyovaa, halafu anasaliti vipi mie kabwela ninayechekelea magari ya mwendo kasi? Nitaishia kuyasifu kuwa ni uroda na mke wangu ataliwa uroda.
 
Kuwa na pesa na kuwa na muda na mkeo (sex) ya kueleweka sio unarundika ela tu wakati ujui kafata nn kwako
NM ukiwa na ela upigi shoo ya maana kapuku atakusaidia na pesa yako atapewa kama asante kwa kunikojoza
Na ukiwa unakojoza huna ela wenye ela watakusaidia (kwa mwanamke asiye kua na hofu ya mungu)
 
Hiyo sababu tu, ila ni wazi wanawake hata hamuelewekagi mnataka nini kwenye mahusiano, mnaojielewa ni wachache mno yaani
Wanawake na wanaume wote walewale kasoro majina. Ukimpata alieeleweka basi shikilia shikilia kaka mito
 
Haaaa hizi research Dr Mwaka nae anasema aslimia 99 ya wanaume ni malaya na wasaliti

Btw umeandika kwa msisitizo nawe muhanga nini

Haaaa hizi research Dr Mwaka nae anasema aslimia 99 ya wanaume ni malaya na wasaliti

Btw umeandika kwa msisitizo nawe muhanga nini
Hapana sio muhanga ila hayo mambo nimeshudia wake za watu wakiliwa sana. Hili jambo we mwenyewe shahidi kujiangalia umesha umsaliti mpnz wako anaekujali Mara ngapi
 
Its All about life..... inatia huruma plus kufanya kitu kibaya kwa wote
 
Kuwa na pesa na kuwa na muda na mkeo (sex) ya kueleweka sio unarundika ela tu wakati ujui kafata nn kwako
NM ukiwa na ela upigi shoo ya maana kapuku atakusaidia na pesa yako atapewa kama asante kwa kunikojoza
Na ukiwa unakojoza huna ela wenye ela watakusaidia (kwa mwanamke asiye kua na hofu ya mungu)
Haya endeleeni tu kuhalalisha kuchepuka
 
Back
Top Bottom