Wanawake: Mnapendea nini mwanaume anaeweza kupika?

Wanawake: Mnapendea nini mwanaume anaeweza kupika?

Kelvin X

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,940
Reaction score
2,402
tena hawa wa dot.com ati utaskia 'i luv men who can cook' kibongobongo hakunanga iyo go cook or go hone!!
 
tena hawa wa dot.com ati utaskia 'i luv men who can cook' kibongobongo hakunanga iyo go cook or go hone!!

Kweli kabisa hawo wa english english ndo wanakua zero kabisa kwenye kujishugulisha na kazi ndogondogo za ndani.... Kama kupika kutandika kitanda ukienda vyumbani mwao unapakuta pako rough balaa... Kufua vyupi vyao... Hata kujiremba unakuta hawajui hata kujipaka makucha sijui manicure au pedicure wanaenda saloon kwa ajili ya huduma ambazo kwa mwanamke aliyekamilika wananujua kujiremba....
 
Nikiumwa najua kuna Mtu wa kunisaidia, halafu raha sana yani unaamka unakuta breakfast tayari, au unarudi kibaruani unakuta msosi tayari...tunajisikia raha kama nyie mnavyojisikia raha kupikiwa vizuri.
 
Oooiii mbwembwee tuu za mjini. Mieeee akhaa nampenda a man who know to fight money,true love and gegedo la kunishbshaa... hizo kukuuuk sijui wapishi wapoo na mi mwenyewe naliweza na sijui eti nikiumwaa ntampa maelekezo hata akichemsha vyote sawaaa mradi viive....
 
Oooiii mbwembwee tuu za mjini. Mieeee akhaa nampenda a man who know to fight money,true love and gegedo la kunishbshaa... hizo kukuuuk sijui wapishi wapoo na mi mwenyewe naliweza na sijui eti nikiumwaa ntampa maelekezo hata akichemsha vyote sawaaa mradi viive....

kumbe unajua kupenda?
 
Its just too sweet. Longtime was travelling on my way back babes asked what can he cook for me so I eat when I arrive, I said and he cooked exactly. It was lovely
 
mimi napenda mwanaume anayejua kupika na akanisaidia lakini si kwamba asitafute hela aisee... lazima afanye vyote .. lakini muhimu pesa kwaanza
 
Kwenye mahusiano kuna njia nyingi za kuyaboresha. Na kupika kunaingia. Siku mmetibuana we unampikia apendacho. Akiwa anakula utasikia halafu we mwanaume wewe.... wewe...., haya!!!! Na katabasamu kwa mbali!!! Sio lazima kila kesi iende kwa mshenga!!!
 
Napenda mtafutaji na mwenye kumwelewa mwanamke alie nae(mimi) yani udhaifu wangu.kasoro zangu na kipi kinaniudhi au kunipa furaha etc! Ukijumlisha na tutavyopendana na uaminifu wetu.tutafika mbali
 
Mwanaume anayejua kupika ana raha yake.......

Mradi tusishindanie jiko tu
 
Kuna siku nilikosana na mchumba wangu,asbh nilivyoamka,akiwa yeye bado amelala,mm niliamka nikaosha vyombo na kupika chai. Nikaandaa na mboga za mchana... jamani wala sikumwongelesha chochote,alivyoamka alinipiga busu na k alinipa mchana
 
Its just too sweet. Longtime was travelling on my way back babes asked what can he cook for me so I eat when I arrive, I said and he cooked exactly. It was lovely

mimi napenda mwanaume anayejua kupika na akanisaidia lakini si kwamba asitafute hela aisee... lazima afanye vyote .. lakini muhimu pesa kwaanza

Nasikiaga ni raha, mwanaume akiwa anapika huku unamtekenya tekenya na kumpiga vibusu busu

Mwanaume anayejua kupika ana raha yake.......

Mradi tusishindanie jiko tu

mwanaume akipika unapata mzuka wa kumpa game anakuwa soo romantic

Msingefunguka aisee,mtawafanya wanaume wengine pia wajifunze kwaiyo sisi tunaojua tutakua hatuna soko,wengine hiyo ndo silaha yetu ya kuchukua pointi tatu
 
mama yangu alinifundisha kupika ili nisiteseke ukubwani.
ila aliniambia nisiende kuwa mtumwa wa kumpikia mwanamke
 
Msingefunguka aisee,mtawafanya wanaume wengine pia wajifunze kwaiyo sisi tunaojua tutakua hatuna soko,wengine hiyo ndo silaha yetu ya kuchukua pointi tatu

Acha kabisa, kipindi kile nasafiri, nikifika nakuta nimepikiwa chapati matusi na chai ya maziwa
maji ya moto yamefunikwa kwenye ndoo aiseeee kifuatacho ITV ni kipindi maalum....usitoke kwenye tv yako
 
Back
Top Bottom