Steph Curry JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 5,936 Reaction score 4,713 Aug 12, 2015 #61 nifah said: Hahahaaaaa chizi wewe umenichekesha kama nini. Kamuulize shemeji yako nadhani atakupa majibu mazuri sana. Click to expand... Sasa shemeji namuulizaje swali nyeti kama hili jamani.. Njoo PM unijibu bana
nifah said: Hahahaaaaa chizi wewe umenichekesha kama nini. Kamuulize shemeji yako nadhani atakupa majibu mazuri sana. Click to expand... Sasa shemeji namuulizaje swali nyeti kama hili jamani.. Njoo PM unijibu bana
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Aug 12, 2015 #62 Steph Curry said: Sasa shemeji namuulizaje swali nyeti kama hili jamani.. Njoo PM unijibu bana Click to expand... Kumbe una haya eeh? Sasa unathubutuje kuniuliza dada yako swali nyeti kama hili? Kwaheri mimi naenda zangu kwenye safari ya mabadiliko.
Steph Curry said: Sasa shemeji namuulizaje swali nyeti kama hili jamani.. Njoo PM unijibu bana Click to expand... Kumbe una haya eeh? Sasa unathubutuje kuniuliza dada yako swali nyeti kama hili? Kwaheri mimi naenda zangu kwenye safari ya mabadiliko.
Steph Curry JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 5,936 Reaction score 4,713 Aug 12, 2015 #63 nifah said: Kumbe una haya eeh? Sasa unathubutuje kuniuliza dada yako swali nyeti kama hili? Kwaheri mimi naenda zangu kwenye safari ya mabadiliko. Click to expand... Hahahaha aya fika salama..
nifah said: Kumbe una haya eeh? Sasa unathubutuje kuniuliza dada yako swali nyeti kama hili? Kwaheri mimi naenda zangu kwenye safari ya mabadiliko. Click to expand... Hahahaha aya fika salama..