Nawachukulia kama ng'ombe wa kisukuma...
Kuna yule wa mambo ya fashoonii kwnye tv chanel moja hivi anaboa sanaaaa sijui mashabiki zake hawamwambiagi? Ptuuuuuh
Nyie wote hamnishindi mimi kwa kuchukia mwanamke alietoboa pua! Mi hata mwanamke alietoboa sikio zaidi ya mara moja huwa namuona mshamba tuu.. Sawa na anaevaa cheni mguuni
Nyie wote hamnishindi mimi kwa kuchukia mwanamke alietoboa pua! Mi hata mwanamke alietoboa sikio zaidi ya mara moja huwa namuona mshamba tuu.. Sawa na anaevaa cheni mguuni