Wanawake mnakosea sana

Wanawake mnakosea sana

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,463
Natumai muwazima wa afya tele wananzengo.

Leo napenda kuwakumbusha kidogo wanawake walio katika ndoa. Wanawake wengi walio katika ndoa wakikosewa/kukosana na wenza wao mara nyingi hulipiza kisasi kwa kuwanyima papuchi.

Kwa hili mnakosea sana coz ni ngumu sana kuyaishi maisha ya ndoa bila kukosana hivo kupitia uzi huu acheni mara1 tabia hiyo.
 
hapo ndipo PUNYETO inachukua mkondo wake kiroho safiiii...daadeki
 
Back
Top Bottom