Wanawake mnakera sana kwa tabia hii

Wanawake mnakera sana kwa tabia hii

cj21125

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
3,588
Reaction score
3,521
Ni kero ambayo iko kwa asilimia kubwa kwa wanawake wenye wapenzi/wachumba/waume ambapo mwanamke anaomba umtumie vocha kwenye simu lakini ukishamtumia akiwa na tatizo saa hiyo hiyo anakubip ili wewe(mwanaume) umpigie. Sasa haieleweki hizo vocha anazoomba atumiwe kwenye simu yake anatumia kuwasiliana na nani. Hebu akina dada tuambieni ni kwa nini inakuwa hivi maana ni vijimambo vidogo lakini vinakera kweli kweli.
 
tafuta mapema mapenzi inabidi upitie kama TUITION upate kufaulu ndani ya ndoa
 
...rafiki yangu wakati anaoa aliambiwa USIHOJI MSHAHARA WA Mkeo, we hakikisha hela ya manunuzi ya home unampa

...nkatambua wazee wa KICHAGA wanajua siri Ilofichika katika hili


akiomba hela MPEEE we MPeee Mpeee, salooon MPE helalaaaaa/pesaaa ....mtoko MPE mbesaaaaaa usiulize chenchi
 
kautaratibu tumejiwekea baadhi yao kwamba mwanaume afanye yeye. me siombi vocha huwa naomba hela tu, extreem yangu ya siku sibeep ila napiga naongea kidogo nakata simu kwenye utamu utapiga tu kujua kinachoendelea huku nikidai network inasumbua mmmh!
 
Ni kero ambayo iko kwa asilimia kubwa kwa wanawake wenye wapenzi/wachumba/waume ambapo mwanamke anaomba umtumie vocha kwenye simu lakini ukishamtumia akiwa na tatizo saa hiyo hiyo anakubip ili wewe(mwanaume) umpigie. Sasa haieleweki hizo vocha anazoomba atumiwe kwenye simu yake anatumia kuwasiliana na nani. Hebu akina dada tuambieni ni kwa nini inakuwa hivi maana ni vijimambo vidogo lakini vinakera kweli kweli.

unaonekana umeishakumbwa na hilo hebu muulize kwann unamtumia vocha halafu bado anakubeep then tukishajua tutakwambia na sababu nyingine
 
nyie mnatuma vocha ya mia tano harafu mnataka mpigiwe. mim pia ningekuwa binti nisingepiga.

muwe mnatuma vocha angalau kidogo tu elfu 50.lazima akupigie
 
teh teh teh......mkuu hawa wanawake wa dizaini hii unawatoa wapi!!!??? Yaani type hii wana njaa kali.
 
Ni kero ambayo iko kwa asilimia kubwa kwa wanawake wenye wapenzi/wachumba/waume ambapo mwanamke anaomba umtumie vocha kwenye simu lakini ukishamtumia akiwa na tatizo saa hiyo hiyo anakubip ili wewe(mwanaume) umpigie. Sasa haieleweki hizo vocha anazoomba atumiwe kwenye simu yake anatumia kuwasiliana na nani. Hebu akina dada tuambieni ni kwa nini inakuwa hivi maana ni vijimambo vidogo lakini vinakera kweli kweli.

kero ya nini kama malengo yako anatimiza....mlima wa ugali haupandwi kwa miguu.
 
kautaratibu tumejiwekea baadhi yao kwamba mwanaume afanye yeye. me siombi vocha huwa naomba hela tu, extreem yangu ya siku sibeep ila napiga naongea kidogo nakata simu kwenye utamu utapiga tu kujua kinachoendelea huku nikidai network inasumbua mmmh!

We ni mmachame?
 
Hapa hupiti tu, mi nahisi umekuja kutuhabarisha kuwa nafasi iko wazi, anayetaka na kuijaza aje!

Thubutu yako.
Nina bonge la engage ring kidoleni...mwaka wa 13 huu na bado najipa matumaini ya ndoa.
Hahaha!
 
Thubutu yako.
Nina bonge la engage ring kidoleni...mwaka wa 13 huu na bado najipa matumaini ya ndoa.
Hahaha!

hahahahaha me sichangii neno hapo, usijali wewe endelea kujipa matumaini na siku akikuoa atakwambia alikuwa anakutest imani yako na uvumilivu. kila la kheri mpenzi ila usinisahau cku ya harusi.
 
Wewe nawe unakera kwa kukubali kuwa na wanawake kama hao.

Kama vipi piga chini tafuta anayetaka kuhongwa kikweli, kama gari hivi, au nyumba.

Ili hata kama unalalamika ulalamikie kitu cha ukwee, ukweli /s.
 
Back
Top Bottom