Wanawake mnajiamini sana

Wanawake mnajiamini sana

Inasikitisha sana, mtu anaekupikia chakula ni wa kumuheshimu sana
 
Ndiyo maana kuna wakati hao wafanyakazi nao wanachukua maamuzi magumu.
 
Wanawake ni majasiri na sio waoga, anamkubalia mwanaume mwenye umri wa Baba yake na hata hajari ukubwa wa mashine atakayokutana nayo!
Kama hiyo haitoshi anakubali kubeba mimba akijua fika siku ya kuzaa ni kufa na kupona. Ila haogopi👏👏
 
Wanawake ni kama ccm tu aibu hawana kabisa. Hivi hao watu mlio wagawia baiskeli mmewaonaje pumbaf nyinyi!
 
Unamfanyakazi wako , unaishi naye unamsema vibaya ,unampiga kama mbwa halafu anapika unakula chakula chake kweli ?? Huogopi ipo siku atakuua ataweka sumu kwenye chakula ufe wewe na familia yako .
Jingine unamuachia watoto akae nao hata yule mdogo .


Halafu ukirudi kelele kuanzia uje hadi ulale mnatisha sana . Sijui mnaroho gani hamna utu. Hata kidogo . Jaribuni kuweka ujinga pembeni . Mtakuja kupikiwa nakula nyama za watoto zenu. Mkizani nyama za kuku .

Mtakula vizuri nakushiba mkija kugutuka katoto kamoja hakapo ndio utajua . Kama wewe ni mama jaribuni kuishi na msichana wako kwa akili.

Usiku mwema nakaribisha povu kwa wamama wasiojilewa .
Wanawake ni watu wenye roho mbaya sana, usiwachukulie maanani hata siku moja.
 
Wasichana sehem wanateswa ndio wanakaa kwa adabu na miaka mingi,ukiishi nae kama ndugu yako anaanza kukuona mnalingana anajiona mwenye nyumba sijui kwanin
Kuna utesaji wake ambao uko himilivu, mwingine hawezi aseeh.
 
Back
Top Bottom