The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,890
- 4,865
- Thread starter
- #61
mkuu nina store ya kutosha ya hao watu, issue ni kuwa sio mademu zangu kwann tusumbuane huduma, ninapokula kuhudumia sio shida sasa sili kwao wakahudumiwe na wanaowalaHao kuna wakati unaona hauelewi mishe zako hazijakaa sawa au mademu zako wanakupanga na dude linataka huduma huwa wanasaidia sana.
Unajikuta unasuuza rungu kwa sababu uliwekeza tu