Wanawake mnageuka chuma ulete

Wanawake mnageuka chuma ulete

Una nyota ya vibomu.

Ila ukiwa mtu wa kuokota namba hovyo vibomu vitakuandama.

Miaka ya nyuma kidogo nilipanda na demu kwenye daladala wakati ule stand ipo pale Ubungo Tanesco. Jioni nampigia kumsalimia kikaanza kibomu cha gesi mara kikaja cha kodi ya nyumba.

Nikafuta namba yake na mpaka leo siokotezi namba hovyo.
 
Nani kasema anateseka mkuu, unadhan kila mtu anakula kwa kumwaga mijasho na kutoa damu kama wewe.

Nyie ndio washamba wa mapenzi ambao mkipata pesa mnawaza kuwacheki wadada walokukataa.

Hii kama injili , take it or leave it, inaowahusu wataokoka.
Pesa ni yako ukiamua uwape au usiwape maamuzi ni yako tatizo sijajua ume elewa vipi?.

Ukiwapa halafu unalalamika umeamua kuteseka narudia tena. Endelea kuteseka

Usipo wapa pia maamuzi ni yako umeamua kuto teseka.

Mimi sina kazi kwahiyo sizitafuti kwa jasho na damu kama ulivyo sema nakula ugari wa mama na siondoki.
 
Pesa ni yako ukiamua uwape au usiwape maamuzi ni yako tatizo sijajua ume elewa vipi?.

Ukiwapa halafu unalalamika umeamua kuteseka narudia tena. Endelea kuteseka

Usipo wapa pia maamuzi ni yako umeamua kuto teseka.

Mimi sina kazi kwahiyo sizitafuti kwa jasho na damu kama ulivyo sema nakula ugari wa mama na siondoki.
Poaa usiondoke mkuu
 
Una nyota ya vibomu.

Ila ukiwa mtu wa kuokota namba hovyo vibomu vitakuandama.

Miaka ya nyuma kidogo nilipanda na demu kwenye daladala wakati ule stand ipo pale Ubungo Tanesco. Jioni nampigia kumsalimia kikaanza kibomu cha gesi mara kikaja cha kodi ya nyumba.

Nikafuta namba yake na mpaka leo siokotezi namba hovyo.
Hapo hakuna hata mmoja nliowahi kutana nae njian nikaomba namba ,wote wako kwenye mzunguko wangu wa maisha ya kila siku
 
Una nyota ya vibomu.

Ila ukiwa mtu wa kuokota namba hovyo vibomu vitakuandama.

Miaka ya nyuma kidogo nilipanda na demu kwenye daladala wakati ule stand ipo pale Ubungo Tanesco. Jioni nampigia kumsalimia kikaanza kibomu cha gesi mara kikaja cha kodi ya nyumba.

Nikafuta namba yake na mpaka leo siokotezi namba hovyo.
bora umeshtukaa mapemaa
 
Shukrani kwanini niteseke na mama yupo

Sema endelea kuwakazia ukilegeza tu umeumia hawana jema hao huwezi fanya maendeleo.
ahahahha kweli bro kwa mama kutamu sana ila jipange nawe uje kuwa na kwako, wanawo waje wajivunie kwa mzee wao
 
Hata wakiomba wengi kwa 5k ain't a big deal
anyway unaweza kuwa unasema hvo hujakutana na situation kama hio , juzi hadi leo nimeshaombwa hela na watu 3 , juzi mmoja , jana na leo. Imagine hii trend ikiendela kwa muda huoni nitapoteza pesa nyingi sana, worse enough sio mademu zangu na sina nia ya kuwafanya wawe, kwanini sasa niwahangaikie?? Nikupee namba zao uwatumie hizo 5k??
 
Back
Top Bottom