Wanawake/Mke wa kichagga ktk mahaba/malavidavi

Wanawake/Mke wa kichagga ktk mahaba/malavidavi

Jay10

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2018
Posts
724
Reaction score
560
Jaman wadau, nimejarbu kuwazaaa jinsi wanawake/mke wa kichagga anavyotuma kutafuta pesa lakin linapokuja suala la mahaba maujanja kama Binti wa KiTanga inakuwa Zero au 20% accurate performance.......yaan angekuwa full package........

Hvi ni wapi walikosea bibi zetu....... Au ndio kutokuwa na utamaduni wa mafunzo ya mautunduuuuu.......... Hahahaaaaa!??

BY DUME LA KICHAGGA
 
Back
Top Bottom