Wanawake mje mseme ukweli.

Wanawake mje mseme ukweli.

Mbona hujaweka Exceptioner.
Kuna ambao huvunja kanuni hizo
 
Dada zetu wenye experience na sisi wanaume haya yanayosemwa ni kweli??
Zifutazo ndizo sifa walizanazo wanaume katika ulimwengu wa wapenzi na mahusiano:

1. Ukimkuta handsome, mawazo yake yanakuwa ni ya kitoto

2. Ukimkuta genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic, hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno.

3. Ukimkuta tajiri, hawezi kukuheshimu utamkuta madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.

4. Ukimkuta mfanyakazi hodari na mtafutaji, hana muda wa kuwa na wewe yeye muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha

5. Ukimkuta mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.

6. Ukimkuta anayependa kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazozitaka.

7. Ukimkuta msomi hasikilizi ushauri wako..anakuona boya tu.

8. Ukimkuta yule smart ni muongo to the maximum na player.

Binafsi naona uongo tu sio kweli hizo iman tu. Me mbna handsome ila very intelligent
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.

Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.

Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.

La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
 
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.

Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.

Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.

La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
Wewe unatimiza?

Thibitisha kwamba we we huzini

Uislam in lifestyle / utamaduni na desturi ya maisha ya kiarabu sio Dini.

Bisha nikupe ushahidi.


Wabillah Tawfiq,
 
Wewe unatimiza?

Thibitisha kwamba we we huzini

Uislam in lifestyle / utamaduni na desturi ya maisha ya kiarabu sio Dini.

Bisha nikupe ushahidi.


Wabillah Tawfiq,
Tatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lililo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo kwa kuwa tu umejazwa ujinga na umekujaa.

Mbona hayo yako yamejibuwa miaka 1,400 iliyopita, sema bahati mbaya tu wewe umejazwa ujinga badala ya kujazwa ukweli na ndiyo ukweli upo mbele ya macho lakini hayaoni. Masikio unayo lakini hayasikii ukweli.

Nna uhahika ulimuona mama'ko anazini ikawa ujinga umeshakuingia kuwa kila mtu anazini.

Hilo ulilonalo ni tatizo binafsi siyo la jamii. Hapa ni JamiiForums, nadhani hata maana yake huelewi.
 
Tatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lilioopo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo Kwa kuwa Umejazwa ujinga.

Mbona hayo yako hameni ni wan miaka 1,400 iliyopita, sema bahati mbaya tu wewe Umejazwa ujinga badala ya kujazwa ukweli.

Nna uhahika ulimuona mama'ko anazini Ikiwa ujinga umeshakuingia kuwa kila mtu anazidi.

Hilo ulilonalo ni tatizo binafsi siyo la jamii. Hapa ni JamiiForums, nadhani hata maana yake huelewi.
Kibibi ajuza wetu jomoniii wa jf huyooo🙈...nimekumiss eti lol😅😅Asalaam Alaykhum
 
Tatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lilioopo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo Kwa kuwa Umejazwa ujinga.

Mbona hayo yako hameni ni wan miaka 1,400 iliyopita, sema bahati mbaya tu wewe Umejazwa ujinga badala ya kujazwa ukweli.

Nna uhahika ulimuona mama'ko anazini Ikiwa ujinga umeshakuingia kuwa kila mtu anazidi.

Hilo ulilonalo ni tatizo binafsi siyo la jamii. Hapa ni JamiiForums, nadhani hata maana yake huelewi.
Muislam mnafiki sana weye bibi...!

Mnazini sana lakini mnaona vibanzi kwa wenzenu...sijui upo kwny mfungo UPI unahisia wenzio tu uzinzi.

Mudy ndio alianza kukujaza ujinga wa imani ya kukuta mabikira peponi

Yeye Mudy (25) aliolewa na Bi Khadija (40)...lakini tena akambaka mtoto Ayisha (9)...sasa bora mzinifu au mbakaji Muhammad wa Mecca?


Wabillah Tawfiq,
 
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.

Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.

Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.

La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?

Kwamba waislam hamzini kabla ya ndoa??? Smh
 
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.

Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.

Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.

La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
Kwani Bible haijakataza hilo!?
 
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.

Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.

Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.

La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?


Mkuu FaizaFoxy, Hata dini ya Kikristo inatoa mwangwi mzuri kwa vijana walio makini kupata furaha ya maisha.

Maswali unayoyaona humu ndani kuhusu mahusiano ya kimapenzi na Maisha kwa ujumla. Wengi wanaouliza ni vijana wasiokuwa na elimu yoyote ya dini iwe ni ya kikristo au Kiislamu.

Ukisoma Torati inatoa muongozo mzima wa maisha ya Mwanadamu ili apate kufurahi yeye na wanaomzunguka yakiwepo mazingira ya viumbe wengine.

Vijana wengi hawana maarifa makubwa ndio maana kutwa kucha kuhangaika na Masaibogi huko mitaani.

Kijana aliyefundishwa dini hasa ya maandiko sio porojo za viongozi wa dini huwezi mkuta akilalamika kuhusu Ulimwengu.

Nakuuliza Swali Bibie. Nawe ulibahatika Kuolewa Bikra kama wanawake wengine waliowatakatifu. Au nawe uliboronga ukamlisha Mumeo Makombo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom