Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Nimemfeel..Yaaaaas!😅😅
Alikuwa 🔥🔥🔥
Oh yeah😋😋😅
Nimemfeel..Yaaaaas!😅😅
Alikuwa 🔥🔥🔥
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.Dada zetu wenye experience na sisi wanaume haya yanayosemwa ni kweli??
Zifutazo ndizo sifa walizanazo wanaume katika ulimwengu wa wapenzi na mahusiano:
1. Ukimkuta handsome, mawazo yake yanakuwa ni ya kitoto
2. Ukimkuta genius…yuko serious masaa 24 na wengi huwa hawako romantic, hawajipendi kihiivyo, wako rafu mno.
3. Ukimkuta tajiri, hawezi kukuheshimu utamkuta madharau, utamwambia nini wakati hela anayo bana.
4. Ukimkuta mfanyakazi hodari na mtafutaji, hana muda wa kuwa na wewe yeye muda wote anawaza kazi na kutafuta maisha
5. Ukimkuta mnyenyekevu…mfukoni huwa 0%.
6. Ukimkuta anayependa kwa dhati…anakuwa siyo type yako..hana pozi zile unazozitaka.
7. Ukimkuta msomi hasikilizi ushauri wako..anakuona boya tu.
8. Ukimkuta yule smart ni muongo to the maximum na player.
Binafsi naona uongo tu sio kweli hizo iman tu. Me mbna handsome ila very intelligent![]()
Wewe unatimiza?Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.
Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.
Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.
La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
Tatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lililo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo kwa kuwa tu umejazwa ujinga na umekujaa.Wewe unatimiza?
Thibitisha kwamba we we huzini
Uislam in lifestyle / utamaduni na desturi ya maisha ya kiarabu sio Dini.
Bisha nikupe ushahidi.
Wabillah Tawfiq,
Kibibi ajuza wetu jomoniii wa jf huyooo🙈...nimekumiss eti lol😅😅Asalaam AlaykhumTatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lilioopo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo Kwa kuwa Umejazwa ujinga.
Mbona hayo yako hameni ni wan miaka 1,400 iliyopita, sema bahati mbaya tu wewe Umejazwa ujinga badala ya kujazwa ukweli.
Nna uhahika ulimuona mama'ko anazini Ikiwa ujinga umeshakuingia kuwa kila mtu anazidi.
Hilo ulilonalo ni tatizo binafsi siyo la jamii. Hapa ni JamiiForums, nadhani hata maana yake huelewi.
Muislam mnafiki sana weye bibi...!Tatizo kubwa sana unaongea kabla hujajibu swali uliloulizwa. Unaacha tatizo lilioopo mbele yako unaanza kutafuta mambo ambayo wewe binafsi huna majibu nayo Kwa kuwa Umejazwa ujinga.
Mbona hayo yako hameni ni wan miaka 1,400 iliyopita, sema bahati mbaya tu wewe Umejazwa ujinga badala ya kujazwa ukweli.
Nna uhahika ulimuona mama'ko anazini Ikiwa ujinga umeshakuingia kuwa kila mtu anazidi.
Hilo ulilonalo ni tatizo binafsi siyo la jamii. Hapa ni JamiiForums, nadhani hata maana yake huelewi.
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.
Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.
Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.
La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
Kwani Bible haijakataza hilo!?Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.
Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.
Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.
La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?
Vijana hamjielewi. Hamfahamu hata binaadam wakoje ili muweze kuishi maisha mazuri.
Mnahangaika sana lakini majibu yapo wazi kabisa.
Kila nnapoziona hizi post zenu ndipo nnazidi kuamini kuwa Uislam ni dini pekee ya kweli.w Kwa sababu, vigezo vyote vya maisha mema na kufurahia maisha vipo wazi kabisa katika Uislam. Someni.
La kwanza msizini na kufanya uasherati nje ya ndoa. Wangapi mnatimiza hilo?