BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
loh! Hili neno!
Naomba katika hiyo hoja yako binafsi upendekeze pia wa-legalize wanaume kufanya hiyo biashara na walipe kodi. Maana wanaume wengi tu wana tabia kama pampu ya kujazia mafuta ya BP, wakichomoa humu wanachomeka mle!