jay311
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,932
- 2,711
Hiki kingozi cha chini pia kina jina lake tunaliita kimila,ila huwa haturuhusiwi kuwaambia/ kuwaonesha wati wa makabila mengine kuhusu hiko kinyama ila wanawake wa kimasai wanajua kuwa ni kwa ajili ya pleasure....Wamasai tunakuwaga jasiri maana tunatahiriwa sa 10/11 asubuh baada ya fimbo,mafundisho (do's and dont's)na maji ya baridi kwenye chemchem...haha without ganzi aisee sitaki hata kukumbuka.