Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,842
- 87,496
Ili nisijiweke mbali na Mungu, nimeamua kukusamehe bure kabisaaaa, na uwe mwenye amani tele...I'm sorry Ushimen, nisamehe. Kuna mtu kanikera Pm. Nisamehe bure.
Ili nisijiweke mbali na Mungu, nimeamua kukusamehe bure kabisaaaa, na uwe mwenye amani tele...I'm sorry Ushimen, nisamehe. Kuna mtu kanikera Pm. Nisamehe bure.
Jomoni mbona Uzi wangu unapoteza mwelekeo, niliomba wanawake wenzangu tuchangie lakini wanaibuka wachangiaji wasioeleweka.[/ahahahahahaha mimi sijacoment ni mwanaume
Mh! we wawatakia nn?Wanaume wa kimasai mko wapi? Hebu sogeeni hapa nina shida na nyie.
AmenIli nisijiweke mbali na Mungu, nimeamua kukusamehe bure kabisaaaa, na uwe mwenye amani tele...
ha ha ha ha ha ha ha aaaaIla wamasai watu wa ajabu sana, wanaume wenyewe wanabakiza vinyama vyao ila vinyama vya dada zao wanavifyekelea mbaaali.
Maendeleo hayana chama
Acha umbeya, ninyi ndiyo mnafanya Uzi huu umepoteza mwelekeo. Nyinyi ndiyo kina Thomaso mnataka mtu aanike nyeti zake kama mdau moja hapo juu kaweka picha za uchi humu na kuharibu mudi ya watu wastaarabu.Jamaa ni Me....anazingua......hebu lipia Tangazo
Acha umbeya, ninyi ndiyo mnafanya Uzi huu umepoteza mwelekeo. Nyinyi ndiyo kina Thomaso mnataka mtu aanike nyeti zake kama mdau moja hapo juu kaweka picha za uchi humu na kuharibu mudi ya watu wastaarabu.
😀😀😀😀😀😀labda mudi yakoAcha umbeya, ninyi ndiyo mnafanya Uzi huu umepoteza mwelekeo. Nyinyi ndiyo kina Thomaso mnataka mtu aanike nyeti zake kama mdau moja hapo juu kaweka picha za uchi humu na kuharibu mudi ya watu wastaarabu.
bila shaka baada ya yeye kuja pm
Na wengine pia😀😀😀😀😀😀labda mudi yako
KWA HIYO MKUU UNAPENDA MAGOVIHabari JF mapenzi.
Ktk pitapita zangu niliwahi kutoka ama kurock na mwanaume wa kimasai.
Kwa kweli niliinjoi mahaba na sijawahi ona mapenzi ya aina hiyo ila kaka mwenyewe alikuwa na hasira sana hasa ukipigiwa simu na mwanaume yeye anajua huyu lazima ni mpenzi wangu.
Nilichokosea ni kuwasimulia rafiki zangu nilichokuwa nafaidi. Siku moja baada ya kusimulia, rafiki yangu X aliniambia kinachonipa raha kwa mmasai wangu ni kingozi kidogo cha chini ya uume ambacho wanaachiwa watu hawa. Mimi nilikuwa mwoga na sikuwahi kushika dudu lake ikizingatiwa alikuwa mkali.
Baada ya Maelezo hayo siku tulipokutana nikamshika na nikaona kitu kilaini chini ya uume wake, nilimbembeleza aniambie kulikoni, akaniambia eti alitahiriwa nyumbani bila ganzi na hicho kingozi kipo kwa wamasai wote wanatahiriwa nyumbani na sio hospital. Hata hivyo bado siamini kama inawezekana kutahiriwa bila ganzi.
Sasa kimbembe kilianza kwa huyu rafiki yangu X ambaye baada ya kumsimulia alianza kunizunguka naye akaanza kurock na mpenzi wangu. Kwa kweli nilipogundua hili tulipigana na mwishowe wote tulipoteza.
Nilifuta namba zote za mmasai wangu na kwa tetesi nasikia baada ya kutoka pale chuoni nasikia yupo jeshi la wananchi kule shinyanga na habari nyingine zinadai yupo kambi ya Tabora.
Je wewe uliwahi kutoka kimapenzi na Mmasai umemisi vituko gani, mambo gani? Na vipi kuhusu watu hawa ktk ndoa kwa wale mlioolewa na wamasai?
NB: Nilichogundua hawa watu pia hawaoi ugenini na ni afadhali tuligombana kwani angenipotezea muda wangu bure.