Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,582
- 10,111
Mara nyingi ukisikia Takwimu za waathirika wa UkIMWI wanawake wanakuwa kwa idadi kubwa kuliko sisi wanaume, hata magonjwa ya zinaa mengine ni hivyo hivyo hii kwa asilimia kubwa hutokana na Uzembe kwa upande wa wanawake na wengi hawafahamu kuchukua tahadhari hasa linapokuja suala la ngono.
Wanawake wengi hawana maamuzi kabisa katika suala la kutumia kinga, yani mwanaume wewe ndiye utakayeamua utumie kinga ama usitumie, yeye mwanamke usipotumia sawa ukitumia sawa, hata kama ni udhaifu suala la afya yako mlinzi wa kwanza ni wewe mwenyewe bila kujali jinsia yako, nilazima uwe na uwezo wa kuchukua tahadhari juu ya afya yako.
Hasa hawa mabinti wenye miaka 16-25 nilazima wafundishwe jinsi ya kujilinda bila hivyo tutakuwa na wakati mgumu sana katika kutokomeza UKIMWI. asanteni
Wanawake wengi hawana maamuzi kabisa katika suala la kutumia kinga, yani mwanaume wewe ndiye utakayeamua utumie kinga ama usitumie, yeye mwanamke usipotumia sawa ukitumia sawa, hata kama ni udhaifu suala la afya yako mlinzi wa kwanza ni wewe mwenyewe bila kujali jinsia yako, nilazima uwe na uwezo wa kuchukua tahadhari juu ya afya yako.
Hasa hawa mabinti wenye miaka 16-25 nilazima wafundishwe jinsi ya kujilinda bila hivyo tutakuwa na wakati mgumu sana katika kutokomeza UKIMWI. asanteni