Wanawake Lindeni Afya Zenu

Wanawake Lindeni Afya Zenu

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,582
Reaction score
10,111
Mara nyingi ukisikia Takwimu za waathirika wa UkIMWI wanawake wanakuwa kwa idadi kubwa kuliko sisi wanaume, hata magonjwa ya zinaa mengine ni hivyo hivyo hii kwa asilimia kubwa hutokana na Uzembe kwa upande wa wanawake na wengi hawafahamu kuchukua tahadhari hasa linapokuja suala la ngono.

Wanawake wengi hawana maamuzi kabisa katika suala la kutumia kinga, yani mwanaume wewe ndiye utakayeamua utumie kinga ama usitumie, yeye mwanamke usipotumia sawa ukitumia sawa, hata kama ni udhaifu suala la afya yako mlinzi wa kwanza ni wewe mwenyewe bila kujali jinsia yako, nilazima uwe na uwezo wa kuchukua tahadhari juu ya afya yako.

Hasa hawa mabinti wenye miaka 16-25 nilazima wafundishwe jinsi ya kujilinda bila hivyo tutakuwa na wakati mgumu sana katika kutokomeza UKIMWI. asanteni
 
Ukiachana na udhaifu wa kushinikiza matumizi ya kinga, maumbile ya wanawake ni laini sana huko ndani make muda wote panakuwa "pabichi"
So akikutana na njemba iliyo shiba ugali wa dona na maharage na isiyopenda kutumia kinga, uhakika wa kuichakata mbususu na kuichanachana kwa show kali ni 100%
 
Ukiachana na udhaifu wa kushinikiza matumizi ya kinga, maumbile ya wanawake ni laini sana huko ndani make muda wote panakuwa "pabichi"
So akikutana na njemba iliyo shiba ugali wa dona na maharage na isiyopenda kutumia kinga, uhakika wa kuichakata mbususu na kuichanachana kwa show kali ni 100%
Huyo mwanaume ndo Mimi japo Sina ukimwi, so wanawake wasinikimbie.
 
Back
Top Bottom